Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochati…

Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyu…. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:Β "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomuπŸ’£ lilipuke… najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sana…"Β Yule jamaa akajirusha dirishaniβ€¦β€¦πŸ˜‚πŸ˜…

​kwani mi napenda ujinga xx πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Kibwana (Guest) on April 17, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Malima (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mary Mrope (Guest) on April 6, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on April 5, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 3, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mwanajuma (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Josephine Nduta (Guest) on March 3, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Farida (Guest) on March 2, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nora Lowassa (Guest) on February 12, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anthony Kariuki (Guest) on February 11, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 26, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Rukia (Guest) on January 10, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Zawadi (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Sumari (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Monica Adhiambo (Guest) on November 2, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Zawadi (Guest) on October 18, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on October 4, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on September 24, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Michael Mboya (Guest) on September 2, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jacob Kiplangat (Guest) on August 24, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joy Wacera (Guest) on August 21, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Richard Mulwa (Guest) on August 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Patrick Mutua (Guest) on July 22, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mzee (Guest) on June 5, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on June 3, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Malima (Guest) on May 21, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on May 17, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Ochieng (Guest) on May 5, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Frank Macha (Guest) on April 29, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on March 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on March 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on February 11, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on January 24, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Janet Mwikali (Guest) on January 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Sokoine (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Halima (Guest) on October 18, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Nyerere (Guest) on September 4, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on September 4, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on August 19, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on August 10, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Kitine (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Simon Kiprono (Guest) on July 28, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on July 26, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Lissu (Guest) on July 25, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on July 23, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Frank Macha (Guest) on July 6, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on June 30, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Charles Mchome (Guest) on May 18, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on May 15, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Edwin Ndambuki (Guest) on April 29, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on April 18, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Philip Nyaga (Guest) on April 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More