Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Staili nyingine za michepuko ni shida

Featured Image

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si akakuta mchepuko wake,
MKE: Unataka nini we mpumbavu?

MUME: Nani huyo unamtukana?
MKE: Kuna mtu hapa anakichwa kama nenda urudi badae
MCHEPUKO:Nawewe pua kama poa
MKE:Miguu kama masaa mawili
MCHEPUKO:Masikio kama sichelewi
MKE: Ondoka hapa mjinga we. …… Akafunga mlango
MUME: mwambie ana macho kama sitoki leo ng'oo
SIPENDI UJINGA MM nikiwa na my love pr

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nora Kidata (Guest) on May 31, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Wande (Guest) on May 28, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Janet Sumari (Guest) on April 19, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Violet Mumo (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

George Ndungu (Guest) on April 15, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rabia (Guest) on April 7, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Alice Mwikali (Guest) on March 24, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on March 16, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on March 13, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kahina (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Minja (Guest) on February 21, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Safiya (Guest) on February 5, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 21, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mhina (Guest) on January 21, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 9, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 4, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mgeni (Guest) on December 28, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Paul Ndomba (Guest) on December 6, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Malisa (Guest) on November 21, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on October 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Zulekha (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Irene Akoth (Guest) on September 29, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Francis Njeru (Guest) on September 7, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on September 3, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Saidi (Guest) on August 27, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lydia Mahiga (Guest) on July 19, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

David Kawawa (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Ruth Wanjiku (Guest) on July 5, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salima (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Chris Okello (Guest) on June 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on June 21, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Daudi (Guest) on June 1, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Elizabeth Malima (Guest) on May 22, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on May 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

George Ndungu (Guest) on March 21, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on February 24, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on February 21, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Francis Mrope (Guest) on February 18, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Athumani (Guest) on January 18, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Kitine (Guest) on January 15, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on January 8, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on January 8, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Patrick Mutua (Guest) on January 3, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 11, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on September 6, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Joyce Mussa (Guest) on August 28, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on August 21, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on July 5, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Benjamin Kibicho (Guest) on July 5, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Halimah (Guest) on June 19, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Asha (Guest) on May 12, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on May 5, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rose Lowassa (Guest) on April 19, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Rashid (Guest) on April 15, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Anthony Kariuki (Guest) on April 9, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More