Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Fikiri (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jane Muthoni (Guest) on April 18, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Patrick Kidata (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on March 23, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 11, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Sumari (Guest) on February 21, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Sumari (Guest) on February 6, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on January 12, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on January 3, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on December 29, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joyce Mussa (Guest) on December 28, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mgeni (Guest) on December 14, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mariam Kawawa (Guest) on December 13, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Chiku (Guest) on December 8, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 7, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Lissu (Guest) on November 17, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Khadija (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Joy Wacera (Guest) on October 21, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 27, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ibrahim (Guest) on August 14, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on August 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on August 4, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on July 29, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Chum (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Joseph Kawawa (Guest) on June 22, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Issa (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Paul Ndomba (Guest) on May 8, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on March 18, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Mutheu (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Michael Mboya (Guest) on January 27, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on January 23, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Edith Cherotich (Guest) on December 24, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Shamsa (Guest) on December 21, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nyota (Guest) on December 17, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Njuguna (Guest) on December 2, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kijakazi (Guest) on November 22, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sarafina (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Monica Lissu (Guest) on November 8, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on October 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Benjamin Kibicho (Guest) on October 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on September 7, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Abdillah (Guest) on August 28, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Kamau (Guest) on August 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Baraka (Guest) on August 10, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanakhamis (Guest) on August 10, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Shukuru (Guest) on August 5, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on July 17, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mahiga (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sekela (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Dorothy Nkya (Guest) on May 29, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on May 6, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on April 22, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More