Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

MLEVI: Niletee supu kisha wasikilize wote waliokaa hapa na wao wape supu sipendi kunywa supu watu wananiangalia
Safari hii watu wakapiga makofi
Baadae akamuita mhudumu
MLEVI: Niandikie bili zangu kisha waandikie wote bili zao sipendi kulipa huku watu wananiangalia

Wale wateja wakamvaa na kumshushia kichapo… teh teh teh teh teh hii kali hakuna cha bure mjini hahahaha na jasho la mtu haliliwi wandugu

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mahiga (Guest) on July 15, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on July 7, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Yusuf (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Paul Kamau (Guest) on June 28, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on June 28, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jaffar (Guest) on May 21, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on May 4, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Malisa (Guest) on April 27, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Kikwete (Guest) on March 23, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on March 18, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on March 12, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jamila (Guest) on February 19, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Vincent Mwangangi (Guest) on February 1, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Jamal (Guest) on January 29, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ann Awino (Guest) on January 20, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 13, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Shamsa (Guest) on December 28, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on December 5, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nora Kidata (Guest) on November 27, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Anna Kibwana (Guest) on November 26, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Chiku (Guest) on November 2, 2016

Asante Ackyshine

Grace Wairimu (Guest) on October 20, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on October 15, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on October 1, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Betty Kimaro (Guest) on August 24, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on August 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on August 3, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Alice Mrema (Guest) on July 16, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Lowassa (Guest) on July 13, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on July 12, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on June 28, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarafina (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Miriam Mchome (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on June 2, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Martin Otieno (Guest) on May 25, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Dorothy Nkya (Guest) on May 20, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on May 3, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 24, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Lowassa (Guest) on March 13, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Elizabeth Mrema (Guest) on March 7, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Benjamin Masanja (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on November 30, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Alex Nakitare (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

David Ochieng (Guest) on November 18, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on November 13, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on September 8, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Hashim (Guest) on August 19, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Grace Njuguna (Guest) on August 18, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on August 17, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on August 4, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on June 14, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fikiri (Guest) on June 9, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Monica Lissu (Guest) on April 19, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More