Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Featured Image

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondoka…

Yule aliyebaki akaanza kucheka sanaa mpaka machozi yakamtoka. Watu wakamuullza, unacheka nini sasa wakati umeachwa? Akawajibu: "kinachonichekesha, yule aliyepanda alikuwa ananisindikiza.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Sumaye (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

David Sokoine (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Stephen Malecela (Guest) on February 20, 2017

😊🀣πŸ”₯

James Mduma (Guest) on February 12, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on January 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on January 28, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on January 20, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Andrew Odhiambo (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Victor Malima (Guest) on December 15, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Kawawa (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

George Wanjala (Guest) on November 25, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on November 10, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Francis Njeru (Guest) on November 7, 2016

🀣πŸ”₯😊

Edith Cherotich (Guest) on November 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on October 28, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on October 8, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on October 4, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on September 26, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Charles Mchome (Guest) on September 5, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on August 26, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on August 4, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on August 3, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Betty Cheruiyot (Guest) on July 29, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on June 17, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on May 31, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on May 31, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on April 12, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Sokoine (Guest) on March 18, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Safiya (Guest) on February 24, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwagonda (Guest) on February 19, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Leila (Guest) on February 19, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Margaret Mahiga (Guest) on February 17, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Zakaria (Guest) on February 16, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Kevin Maina (Guest) on January 15, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Alex Nakitare (Guest) on December 17, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on December 12, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Monica Lissu (Guest) on December 10, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Robert Okello (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Shani (Guest) on October 17, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mugendi (Guest) on October 7, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on October 2, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on September 1, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Josephine (Guest) on August 20, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Paul Kamau (Guest) on August 17, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on August 17, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on June 27, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on June 16, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mwanakhamis (Guest) on June 4, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Salima (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on April 3, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rahim (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More