Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo.

Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali",

Wakapiga magoti…:
MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake.
MUME: Emen…

MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko.
MUME: Emen…

MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe.
MUME: Kimya…

MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana.
MUME: …….!!

MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali.
MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe.

Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mercy Atieno (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on February 18, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on February 13, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on February 7, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on January 10, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on January 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Mwachumu (Guest) on December 30, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nassar (Guest) on December 23, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Amina (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Alice Mwikali (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 21, 2016

🀣πŸ”₯😊

Anthony Kariuki (Guest) on October 15, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on October 10, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hawa (Guest) on October 2, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Sekela (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Grace Njuguna (Guest) on August 16, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on July 26, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on July 25, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 25, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Athumani (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Mushi (Guest) on July 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Issack (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Kidata (Guest) on June 22, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Aziza (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Raha (Guest) on May 20, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Sharifa (Guest) on May 11, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Tabitha Okumu (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on April 23, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on April 20, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on April 18, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Michael Mboya (Guest) on April 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on April 2, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Elizabeth Mrope (Guest) on January 31, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on January 30, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on January 12, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Brian Karanja (Guest) on December 22, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Patrick Kidata (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Yahya (Guest) on October 20, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Michael Mboya (Guest) on September 26, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Njeru (Guest) on September 22, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on September 13, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Hekima (Guest) on September 12, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on August 10, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on August 1, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on July 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on June 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Warda (Guest) on May 21, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 2, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Tabitha Okumu (Guest) on April 30, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mazrui (Guest) on April 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Sumaye (Guest) on April 21, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nassor (Guest) on April 10, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Related Posts

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More