Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lily…Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary…Jioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lily…Nakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

Lily…Huyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

John…Niaje we mbwaa
Sam…Pouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Sam…Niko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawa… Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

John…Dah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Sam…John bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulana…
High πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Majid (Guest) on November 20, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on October 21, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on September 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lydia Mahiga (Guest) on September 24, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on September 24, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Halimah (Guest) on September 22, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 15, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Zulekha (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Majid (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Ali (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Ochieng (Guest) on July 9, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Michael Mboya (Guest) on July 7, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Hashim (Guest) on June 3, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Neema (Guest) on May 21, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Irene Akoth (Guest) on May 21, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ali (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Wilson Ombati (Guest) on May 4, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on April 27, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on March 10, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nancy Akumu (Guest) on February 24, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on February 21, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joy Wacera (Guest) on February 14, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on January 20, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 15, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on December 16, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on December 5, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Christopher Oloo (Guest) on August 13, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 24, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumari (Guest) on July 9, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nasra (Guest) on July 4, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on July 1, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 3, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

David Musyoka (Guest) on June 1, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on May 23, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 30, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ali (Guest) on April 6, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 22, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on February 14, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on February 5, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Samuel Were (Guest) on February 3, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on January 3, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on December 14, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Monica Lissu (Guest) on November 29, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Jafari (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mchawi (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Janet Sumari (Guest) on November 9, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Josephine Nekesa (Guest) on October 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on October 3, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on September 22, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Elizabeth Mtei (Guest) on September 14, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on September 7, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on July 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Related Posts

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More