Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Nyerere (Guest) on August 31, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Esther Nyambura (Guest) on August 24, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Njoroge (Guest) on July 9, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on July 8, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on July 4, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Hassan (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Patrick Kidata (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 1, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Henry Mollel (Guest) on April 1, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on January 14, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on January 6, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on December 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on December 18, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on November 26, 2018

🀣πŸ”₯😊

Samson Tibaijuka (Guest) on November 19, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on October 22, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fatuma (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Jebet (Guest) on September 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Chiku (Guest) on September 16, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Khadija (Guest) on September 12, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Josephine Nduta (Guest) on September 7, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on August 31, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Edith Cherotich (Guest) on August 28, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Josephine Nduta (Guest) on August 26, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwajabu (Guest) on August 20, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Mwinuka (Guest) on August 12, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Yusuf (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Moses Kipkemboi (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

David Sokoine (Guest) on June 5, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Wangui (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Jane Muthui (Guest) on March 25, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nora Kidata (Guest) on March 1, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on February 22, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Zulekha (Guest) on January 7, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Mchome (Guest) on November 13, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on October 20, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Issack (Guest) on October 15, 2017

Asante Ackyshine

Husna (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Daniel Obura (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Victor Kimario (Guest) on August 18, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Mrope (Guest) on August 17, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mustafa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nora Lowassa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on August 4, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Susan Wangari (Guest) on July 27, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Omari (Guest) on July 19, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on July 19, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on July 10, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on July 4, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on June 16, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on June 9, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on June 1, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

James Mduma (Guest) on May 24, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on May 5, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on May 3, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on April 14, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More