Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜πŸ˜πŸ˜

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Betty Kimaro (Guest) on November 14, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jafari (Guest) on October 11, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on September 21, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwanaidha (Guest) on September 10, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Esther Nyambura (Guest) on September 7, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on August 3, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on July 23, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on July 11, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Henry Mollel (Guest) on July 9, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on June 13, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nasra (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ruth Mtangi (Guest) on May 24, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on May 3, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 20, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Alice Mwikali (Guest) on April 1, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Kheri (Guest) on March 29, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mwanaidi (Guest) on February 21, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Hekima (Guest) on February 2, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Agnes Lowassa (Guest) on February 2, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on January 20, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Fikiri (Guest) on January 18, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Lowassa (Guest) on December 14, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Violet Mumo (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on December 9, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on November 30, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sharon Kibiru (Guest) on November 23, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Andrew Mchome (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Jane Muthui (Guest) on October 5, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

David Chacha (Guest) on September 30, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on September 23, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Lucy Mahiga (Guest) on September 22, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on September 14, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nahida (Guest) on September 1, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 20, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 17, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mchuma (Guest) on August 15, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on July 2, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Abdullah (Guest) on May 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

John Lissu (Guest) on April 26, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on April 21, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joyce Mussa (Guest) on April 20, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on April 4, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nancy Komba (Guest) on March 31, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on March 27, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Shabani (Guest) on February 26, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Peter Mwambui (Guest) on February 19, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 10, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Awino (Guest) on December 26, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on December 6, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on December 4, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 7, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on October 26, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zubeida (Guest) on October 13, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Hellen Nduta (Guest) on October 11, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on October 8, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on September 26, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on September 1, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kijakazi (Guest) on August 13, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Related Posts

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More