Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Linda Karimi (Guest) on March 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on February 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on January 18, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 2, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on December 31, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jacob Kiplangat (Guest) on October 17, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on September 16, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Majaliwa (Guest) on August 26, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on August 26, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on August 19, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on August 4, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 1, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kijakazi (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

David Kawawa (Guest) on July 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on June 23, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on June 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on June 14, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on June 7, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on June 3, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Neema (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mchawi (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Lucy Wangui (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Joy Wacera (Guest) on March 12, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Kendi (Guest) on March 7, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on February 13, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on January 31, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on January 18, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on January 1, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on December 7, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 20, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on November 18, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Michael Mboya (Guest) on November 16, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raha (Guest) on November 5, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anthony Kariuki (Guest) on October 20, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mary Njeri (Guest) on September 14, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Kenneth Murithi (Guest) on August 31, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 30, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on August 16, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Ochieng (Guest) on August 2, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

John Lissu (Guest) on July 8, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zubeida (Guest) on July 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Baraka (Guest) on June 26, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on June 20, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on June 11, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 21, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on May 3, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on March 28, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Monica Adhiambo (Guest) on March 19, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on February 23, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwajabu (Guest) on February 13, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Mahiga (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

John Mwangi (Guest) on January 14, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Majaliwa (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on December 23, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mchuma (Guest) on December 17, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edith Cherotich (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More