Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Mutua (Guest) on January 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Amir (Guest) on January 2, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on December 12, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Issa (Guest) on December 11, 2018

Asante Ackyshine

George Wanjala (Guest) on November 25, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Chris Okello (Guest) on November 24, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Diana Mumbua (Guest) on November 10, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on October 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Sarah Mbise (Guest) on October 14, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on October 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on September 22, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on September 12, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on September 11, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Ruth Wanjiku (Guest) on September 1, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Leila (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Henry Sokoine (Guest) on July 30, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 15, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 7, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mercy Atieno (Guest) on June 9, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Henry Mollel (Guest) on June 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on May 11, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Husna (Guest) on May 2, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Ibrahim (Guest) on April 15, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mercy Atieno (Guest) on April 15, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on April 14, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on April 9, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on March 3, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mwanahawa (Guest) on February 7, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nassar (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Paul Ndomba (Guest) on January 25, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mwanahawa (Guest) on January 24, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mary Njeri (Guest) on January 11, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Brian Karanja (Guest) on December 2, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on November 28, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on November 23, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Ahmed (Guest) on November 22, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Jamila (Guest) on November 21, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Diana Mallya (Guest) on November 18, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on November 14, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mchome (Guest) on September 17, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Josephine Nduta (Guest) on August 14, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Muslima (Guest) on July 29, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Hawa (Guest) on July 16, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nancy Akumu (Guest) on July 15, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on July 2, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwajabu (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 25, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on May 15, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alice Mrema (Guest) on May 3, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on May 2, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on April 12, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mhina (Guest) on April 4, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Furaha (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Related Posts

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More