Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Mutua (Guest) on January 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Amir (Guest) on January 2, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on December 12, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Issa (Guest) on December 11, 2018

Asante Ackyshine

George Wanjala (Guest) on November 25, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Chris Okello (Guest) on November 24, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Diana Mumbua (Guest) on November 10, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on October 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Sarah Mbise (Guest) on October 14, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on October 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on September 22, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on September 12, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on September 11, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Ruth Wanjiku (Guest) on September 1, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Leila (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Henry Sokoine (Guest) on July 30, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 15, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 7, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mercy Atieno (Guest) on June 9, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Henry Mollel (Guest) on June 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on May 11, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Husna (Guest) on May 2, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Ibrahim (Guest) on April 15, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mercy Atieno (Guest) on April 15, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on April 14, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on April 9, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on March 3, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mwanahawa (Guest) on February 7, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nassar (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Paul Ndomba (Guest) on January 25, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mwanahawa (Guest) on January 24, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mary Njeri (Guest) on January 11, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Brian Karanja (Guest) on December 2, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on November 28, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on November 23, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Ahmed (Guest) on November 22, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Jamila (Guest) on November 21, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Diana Mallya (Guest) on November 18, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on November 14, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mchome (Guest) on September 17, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Josephine Nduta (Guest) on August 14, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Muslima (Guest) on July 29, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Hawa (Guest) on July 16, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nancy Akumu (Guest) on July 15, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on July 2, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwajabu (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 25, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on May 15, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alice Mrema (Guest) on May 3, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on May 2, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on April 12, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mhina (Guest) on April 4, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Furaha (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Related Posts

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More