Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mjaka (Guest) on October 18, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 13, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on September 20, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Issack (Guest) on August 17, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Susan Wangari (Guest) on July 29, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on July 15, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on June 24, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on June 24, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Kidata (Guest) on June 21, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on June 11, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on June 2, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Francis Mtangi (Guest) on May 28, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Patrick Kidata (Guest) on May 24, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Umi (Guest) on May 24, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Anna Sumari (Guest) on April 26, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on April 4, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mzee (Guest) on March 31, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lydia Mutheu (Guest) on March 22, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on March 17, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 14, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on December 23, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Hekima (Guest) on November 22, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Rose Kiwanga (Guest) on November 14, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Baridi (Guest) on November 14, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Zakaria (Guest) on November 6, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mchuma (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nancy Kabura (Guest) on September 28, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Lowassa (Guest) on September 22, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Charles Mchome (Guest) on September 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 19, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ann Wambui (Guest) on August 1, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Mligo (Guest) on July 26, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on July 21, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 13, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on June 10, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on May 26, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Simon Kiprono (Guest) on April 18, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on April 8, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Samuel Were (Guest) on March 23, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Ann Wambui (Guest) on March 15, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on March 4, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on February 26, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on February 24, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Josephine Nduta (Guest) on February 14, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on February 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on January 3, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on December 28, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Kawawa (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Zubeida (Guest) on November 13, 2017

Asante Ackyshine

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on October 1, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Kazija (Guest) on September 1, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Sarah Karani (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Related Posts

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More