Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Featured Image

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yenyewe tabu.. kwahio picha haikufunguka na kwa vile niliona itachelewa kufunguka na ataona sikumjibu basi nami..

Nikampelekea msg nikamuandikia umependeza saana bosi mashaallah…!!
sasa baada tu ya kumfika msg.. na huku picha ikafunguka kumbe picha ya Sokwe..!!
Basi Kaniambia kesho niende ofsini kwake kuna barua yangu..
Nahisi hyo barua ina pesa, hapa cjalala, nmekosa usingizi kabisa,nawaza ninunulie nn hyo pesa.Na kesho asubuhi sa 12 asubuhi atanikuta ofisini kwake naisubiri barua, sipendagi ujinga mimi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Kangethe (Guest) on April 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ramadhan (Guest) on April 5, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on March 26, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Daniel Obura (Guest) on February 16, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Chris Okello (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on January 6, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on December 27, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on December 14, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on October 23, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on October 20, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Kamande (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Susan Wangari (Guest) on September 24, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Otieno (Guest) on August 12, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on July 26, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on July 25, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on July 11, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on June 1, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shukuru (Guest) on May 25, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on April 28, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fikiri (Guest) on April 8, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

George Mallya (Guest) on March 5, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rubea (Guest) on February 25, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Zubeida (Guest) on February 9, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on February 6, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 24, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Mushi (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Diana Mallya (Guest) on December 9, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Abdullah (Guest) on December 7, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on October 21, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 20, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Christopher Oloo (Guest) on September 19, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on August 7, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on August 4, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on July 5, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Bakari (Guest) on June 19, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on June 14, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on June 8, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Paul Ndomba (Guest) on June 5, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Omari (Guest) on April 19, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Rose Mwinuka (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

David Ochieng (Guest) on March 13, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on February 27, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Peter Otieno (Guest) on February 20, 2018

Asante Ackyshine

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 18, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on February 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on February 5, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on February 2, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Hassan (Guest) on January 16, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Robert Ndunguru (Guest) on December 16, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anthony Kariuki (Guest) on November 26, 2017

😊🀣πŸ”₯

Shani (Guest) on November 23, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Mrema (Guest) on November 3, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Chacha (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Related Posts

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More