Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Featured Image

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

*Ishawahi kutokea Pale nilipokutana njiani na mwalimu aliyekufundisha MATHS secondary afu akaniambia nimuelekeze njia ya kwenda sehemu fulani.*

*_Nenda mbele kama 2KM hivi kisha kata kushoto,ila hakikisha ANGLE inakuwa ni 30.5 KUSINI MASHARIKI.Kisha tumia PYTHAGORAS na hakikisha una FOUR FIGURE ili kupata thamani ya ANGLE._*

*Mwalimu alisonya na kuondoka.*πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜’πŸ˜’

*Stakagi ujinga kabisa mimi, wakati ananichapa alifikiri sifa*πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸ˜…πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½ *Mniache Tuu Mimi Sio Kwa Bifu Ilo Aiseee*πŸƒπŸΎ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kahina (Guest) on January 8, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Njeri (Guest) on December 14, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on December 13, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mtei (Guest) on November 28, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on October 6, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rose Lowassa (Guest) on September 24, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Sarah Karani (Guest) on September 15, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Maida (Guest) on September 13, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

John Mushi (Guest) on August 24, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on August 20, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on July 21, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Bernard Oduor (Guest) on June 11, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on June 10, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on May 31, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Lissu (Guest) on May 27, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 23, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Anna Mahiga (Guest) on May 5, 2019

😊🀣πŸ”₯

Susan Wangari (Guest) on April 21, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rahim (Guest) on April 17, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mgeni (Guest) on February 25, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Amukowa (Guest) on January 30, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on January 23, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 20, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 19, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanais (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ibrahim (Guest) on January 1, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Ahmed (Guest) on December 27, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Monica Nyalandu (Guest) on November 21, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Fadhili (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elijah Mutua (Guest) on October 29, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Irene Akoth (Guest) on September 24, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on September 8, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on September 2, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on September 2, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Robert Ndunguru (Guest) on July 30, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Selemani (Guest) on July 30, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

John Kamande (Guest) on July 29, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on July 25, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on July 12, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on July 9, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Sokoine (Guest) on June 4, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Hekima (Guest) on May 26, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Anthony Kariuki (Guest) on May 21, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on May 11, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on May 5, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Selemani (Guest) on May 3, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Esther Nyambura (Guest) on April 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Daniel Obura (Guest) on March 14, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on March 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on March 2, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on February 28, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Edith Cherotich (Guest) on December 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on December 20, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Malisa (Guest) on November 18, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwakisu (Guest) on November 18, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Malisa (Guest) on November 15, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on November 10, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on November 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More