Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Featured Image

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy alialikwa. Akakuta mlango wa2 umeandikwa kulia wenye zawadi kushoto wasionazawadi yy hakuwa na zawadi. Mlango Wa 3 umeandikwa kulia wanawake kushoto waume akapita kushoto akajikuta ametokea mtaani

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„. Tujifunze kutoa wandugu

*hatupendagi ujinga sisi*
🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Daniel Obura (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on August 11, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amina (Guest) on July 15, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Charles Mchome (Guest) on July 11, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on June 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kiza (Guest) on June 16, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Catherine Naliaka (Guest) on June 15, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Grace Mligo (Guest) on June 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on June 6, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shamsa (Guest) on May 25, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Elizabeth Malima (Guest) on May 24, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on May 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on April 29, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Peter Mbise (Guest) on April 16, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on April 6, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fatuma (Guest) on March 17, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Kiwanga (Guest) on February 22, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on February 19, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joseph Kiwanga (Guest) on February 18, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Karani (Guest) on February 14, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Kibona (Guest) on January 28, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on January 23, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 19, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ndoto (Guest) on December 14, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Betty Kimaro (Guest) on December 11, 2018

Asante Ackyshine

Peter Mwambui (Guest) on November 28, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on October 3, 2018

😊🀣πŸ”₯

Peter Otieno (Guest) on August 28, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on August 15, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mgeni (Guest) on July 22, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Emily Chepngeno (Guest) on July 3, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Sarah Achieng (Guest) on June 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on May 24, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 26, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on February 20, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elijah Mutua (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Rose Waithera (Guest) on January 22, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Maimuna (Guest) on December 22, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Samuel Omondi (Guest) on December 16, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ahmed (Guest) on December 12, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Grace Mligo (Guest) on December 10, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Grace Mligo (Guest) on December 2, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on November 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Amir (Guest) on October 31, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

John Lissu (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 4, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mwanakhamis (Guest) on September 9, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on August 18, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Kheri (Guest) on July 8, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Mushi (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on June 21, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on June 2, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on May 24, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Lowassa (Guest) on May 19, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Miriam Mchome (Guest) on May 13, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Anna Mahiga (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

George Wanjala (Guest) on April 16, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nancy Kawawa (Guest) on April 5, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More