Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANA friend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambia hivi:-

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor

MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o

MSICHANA: Aaah! Hicho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie

MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.

MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe

Baba mtu akawatazama kisha akasema

BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli

MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana yupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!

BABA: Sawa! Usisahau kumpatia na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!

Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GET PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED" by Wole Soyinka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edward Chepkoech (Guest) on December 18, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on December 12, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Mwangi (Guest) on November 23, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lucy Wangui (Guest) on November 21, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on October 23, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nancy Akumu (Guest) on October 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on October 4, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on August 14, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on July 14, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on June 8, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

James Malima (Guest) on May 31, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Ahmed (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Monica Lissu (Guest) on May 3, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on April 21, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on March 14, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on March 8, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on March 4, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Binti (Guest) on February 20, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on February 19, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Otieno (Guest) on February 19, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Janet Wambura (Guest) on February 16, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Athumani (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mwanakhamis (Guest) on February 1, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Bahati (Guest) on January 29, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Michael Mboya (Guest) on January 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Susan Wangari (Guest) on December 30, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on December 14, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Arifa (Guest) on December 8, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Mwanaisha (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Margaret Anyango (Guest) on October 18, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Michael Mboya (Guest) on October 1, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sharifa (Guest) on September 21, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on September 9, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Hashim (Guest) on August 23, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on August 20, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on August 15, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Sumaye (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sharon Kibiru (Guest) on June 6, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on May 17, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on April 27, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on April 15, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 31, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rashid (Guest) on March 16, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

George Tenga (Guest) on March 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on March 7, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on January 2, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Christopher Oloo (Guest) on December 28, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Kiwanga (Guest) on December 26, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Susan Wangari (Guest) on December 14, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sarafina (Guest) on November 22, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on November 20, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on November 9, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on October 30, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on October 27, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Grace Minja (Guest) on October 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chiku (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More