Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Featured Image

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwizi

UFAFANUZI

1. Hazeeki kwa sababu hufa mapema kwa kifua kikuu

2. Haumwi na mbwa kwa vile kifua na mapafu yanapooza na hulazimika kutembea na bakora

3. Nyumbani kwake haingii mwizi kwa kuwa inafika wakati ambapo halali:
atakohoa usiku kucha hivyo mwizi anajua yupo macho
kumbe kikohozi tu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Sokoine (Guest) on March 17, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on March 1, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Neema (Guest) on February 28, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarah Achieng (Guest) on February 23, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kawawa (Guest) on January 6, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on December 29, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Betty Kimaro (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Abdullah (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Stephen Kangethe (Guest) on December 3, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on November 20, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 20, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on November 18, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Saidi (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Robert Okello (Guest) on October 14, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on October 4, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Monica Lissu (Guest) on September 25, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Khadija (Guest) on September 17, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Diana Mumbua (Guest) on September 11, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on August 21, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on July 29, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kawawa (Guest) on July 22, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on July 5, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on July 4, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

James Mduma (Guest) on June 15, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on June 2, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 2, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Athumani (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Lowassa (Guest) on April 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwachumu (Guest) on March 28, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mwanaisha (Guest) on March 15, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Kamande (Guest) on March 15, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on March 10, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Shabani (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Henry Mollel (Guest) on March 1, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Janet Sumari (Guest) on February 24, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on January 15, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on January 14, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Sarah Karani (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Robert Okello (Guest) on November 28, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on October 26, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 17, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Yahya (Guest) on August 8, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 26, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on July 12, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on July 10, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Khalifa (Guest) on July 10, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Mwangi (Guest) on July 1, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Nyota (Guest) on June 6, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Grace Mushi (Guest) on May 19, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on April 30, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on April 29, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Husna (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

David Ochieng (Guest) on March 15, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on March 13, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on March 8, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 16, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Biashara (Guest) on February 12, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Macha (Guest) on February 6, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Bakari (Guest) on January 26, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Elizabeth Malima (Guest) on January 12, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More