Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tabia za wachepukaji

Featured Image

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila
wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima
akwambie hebu
kwanza…….
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata
iweje….anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa
kwa majina ya
kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara
kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu
anafuta dial no
haraka.
11.Always yuko na simu…..hadi bafuni
ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu
simu….anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa
mara
kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture
na akikuweka
humalizi masaa anakudampu huko
Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja
kabisa
Share na washikaji zako😜😜😜😜😜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Mallya (Guest) on January 14, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Diana Mumbua (Guest) on January 11, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on December 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on November 29, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on November 19, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Khamis (Guest) on October 21, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

James Malima (Guest) on October 20, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Joseph Njoroge (Guest) on October 20, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Onyango (Guest) on September 9, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Safiya (Guest) on August 30, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Mushi (Guest) on August 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Omari (Guest) on July 25, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

John Lissu (Guest) on July 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Abdullah (Guest) on June 16, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Emily Chepngeno (Guest) on May 29, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on May 26, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

David Ochieng (Guest) on May 15, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on May 14, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on May 12, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on April 25, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Christopher Oloo (Guest) on April 23, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Mallya (Guest) on April 1, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 30, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on February 19, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on February 18, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Maida (Guest) on January 19, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on January 18, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Makame (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Raha (Guest) on January 6, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Abdullah (Guest) on December 27, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Raphael Okoth (Guest) on November 29, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on September 23, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 12, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Joy Wacera (Guest) on August 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on August 27, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on August 11, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on August 2, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Habiba (Guest) on July 27, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Henry Mollel (Guest) on July 6, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on July 5, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on June 9, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on May 31, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on May 19, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on May 12, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 10, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on April 15, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on February 17, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on January 27, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

John Mushi (Guest) on January 24, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

George Ndungu (Guest) on January 9, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on December 22, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on December 14, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on December 4, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on November 29, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on October 28, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Margaret Anyango (Guest) on October 3, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Jebet (Guest) on September 28, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Emily Chepngeno (Guest) on September 7, 2019

😊🀣πŸ”₯

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More