Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza.

Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.

Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza,

'Nyie mnafanya nini hapa?'

Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samuel Omondi (Guest) on October 2, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 28, 2022

😊🀣πŸ”₯

Jaffar (Guest) on September 21, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Hellen Nduta (Guest) on September 18, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on August 28, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on August 27, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on August 27, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Richard Mulwa (Guest) on August 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on August 15, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 2, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on June 25, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ndoto (Guest) on June 21, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Akumu (Guest) on May 3, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Rubea (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on January 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on November 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on October 28, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nassar (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Bernard Oduor (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Agnes Njeri (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on September 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Maulid (Guest) on August 8, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 7, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 2, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on July 5, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Nyalandu (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Hawa (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Fatuma (Guest) on April 24, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Faith Kariuki (Guest) on April 13, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2021

🀣πŸ”₯😊

Sharon Kibiru (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on March 18, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on March 13, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanaisha (Guest) on March 11, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Omar (Guest) on March 5, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Rehema (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mchuma (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Patrick Kidata (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Minja (Guest) on January 31, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on January 17, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Esther Nyambura (Guest) on January 15, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Nkya (Guest) on January 2, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Kimaro (Guest) on December 17, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on December 11, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on December 1, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on October 31, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on October 31, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on October 18, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 11, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Zakia (Guest) on October 9, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kahina (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mahiga (Guest) on August 25, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Hashim (Guest) on July 15, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwalimu (Guest) on July 6, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Samson Tibaijuka (Guest) on July 6, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More