Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Diana Mumbua (Guest) on December 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on November 17, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on September 29, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Salima (Guest) on September 20, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on September 8, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on August 23, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on August 22, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Sumaye (Guest) on August 20, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on July 25, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Amina (Guest) on July 10, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

John Malisa (Guest) on June 30, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Wilson Ombati (Guest) on June 24, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on June 23, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Violet Mumo (Guest) on June 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on May 18, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 18, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on May 17, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 15, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Martin Otieno (Guest) on April 27, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Majid (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 3, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Shabani (Guest) on March 15, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 3, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarafina (Guest) on February 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Chacha (Guest) on February 22, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Andrew Mchome (Guest) on February 19, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Sokoine (Guest) on January 28, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on January 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on January 24, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Kimani (Guest) on November 19, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 21, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on September 18, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on September 10, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on August 22, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Khadija (Guest) on August 12, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 2, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on May 10, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on May 3, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Alice Mrema (Guest) on April 27, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Abubakar (Guest) on April 18, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Athumani (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Wilson Ombati (Guest) on April 7, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwakisu (Guest) on April 5, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Zainab (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mutheu (Guest) on March 22, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anna Sumari (Guest) on February 24, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on February 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on January 25, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on January 6, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Mallya (Guest) on November 29, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nuru (Guest) on November 26, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Mrope (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on November 13, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Irene Makena (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More