Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!





Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Adhiambo (Guest) on December 8, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joseph Kawawa (Guest) on November 21, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zawadi (Guest) on November 13, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on November 3, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

John Malisa (Guest) on October 6, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Khalifa (Guest) on September 14, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on September 7, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jamila (Guest) on August 14, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on July 26, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on July 6, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

James Malima (Guest) on June 1, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Sokoine (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on May 8, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 3, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Kawawa (Guest) on April 17, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mwajabu (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwanaidha (Guest) on March 23, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hassan (Guest) on March 16, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on March 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Athumani (Guest) on March 10, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Baraka (Guest) on January 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Edward Lowassa (Guest) on January 8, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kawawa (Guest) on December 21, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 15, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on November 30, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on November 18, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahma (Guest) on November 11, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Janet Mwikali (Guest) on November 6, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine (Guest) on November 2, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on October 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on October 10, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hashim (Guest) on October 9, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jackson Makori (Guest) on August 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on August 5, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elijah Mutua (Guest) on July 14, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Agnes Sumaye (Guest) on July 2, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Isaac Kiptoo (Guest) on June 25, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

James Malima (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Mushi (Guest) on May 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on April 23, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Asha (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mwafirika (Guest) on April 6, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Chum (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Mwinuka (Guest) on March 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Malela (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

John Mushi (Guest) on January 20, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Husna (Guest) on January 15, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Sharifa (Guest) on January 8, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Akumu (Guest) on December 29, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Vincent Mwangangi (Guest) on November 30, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on October 3, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on September 2, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Maulid (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Zawadi (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ann Wambui (Guest) on August 1, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More