Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nyota (Guest) on May 7, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lucy Wangui (Guest) on April 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on March 19, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Anna Mahiga (Guest) on March 12, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edward Lowassa (Guest) on March 7, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Miriam Mchome (Guest) on February 19, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Joy Wacera (Guest) on January 19, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Mwikali (Guest) on January 11, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Moses Kipkemboi (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Betty Cheruiyot (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Josephine Nduta (Guest) on November 21, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on November 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on October 25, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Charles Wafula (Guest) on October 24, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Juma (Guest) on October 23, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Sumaye (Guest) on October 21, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on October 18, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on October 10, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on August 13, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Edward Chepkoech (Guest) on July 19, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Carol Nyakio (Guest) on July 5, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on June 26, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Fadhili (Guest) on June 8, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sarah Karani (Guest) on June 6, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on June 3, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Khadija (Guest) on June 2, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Sokoine (Guest) on May 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on May 15, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 8, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nashon (Guest) on March 23, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on February 26, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on February 26, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Peter Mbise (Guest) on February 15, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on February 8, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Lowassa (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Wanyama (Guest) on January 1, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Violet Mumo (Guest) on December 31, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on December 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on December 19, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Azima (Guest) on December 14, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joseph Kitine (Guest) on December 2, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on November 17, 2020

Asante Ackyshine

Ruth Mtangi (Guest) on November 8, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ali (Guest) on November 6, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kassim (Guest) on September 7, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Wanjala (Guest) on August 29, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on July 13, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on July 6, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on June 22, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on May 20, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on May 18, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joyce Nkya (Guest) on April 19, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nassar (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Robert Ndunguru (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on March 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on March 21, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More