Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA MAPENDO

Featured Image

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupendeza.

Nampenda na jirani yangu kama nafsi yangu,

kwa ajili yako.

Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Okello (Guest) on September 4, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Carol Nyakio (Guest) on August 29, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Violet Mumo (Guest) on June 21, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Miriam Mchome (Guest) on June 6, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Sarah Karani (Guest) on April 15, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

James Kimani (Guest) on December 27, 2016

Rehema hushinda hukumu

Ann Wambui (Guest) on December 11, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Edward Chepkoech (Guest) on November 15, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Lucy Kimotho (Guest) on October 13, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Ann Wambui (Guest) on August 6, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Lydia Mahiga (Guest) on March 5, 2016

Nakuombea πŸ™

Joseph Mallya (Guest) on December 26, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Edward Lowassa (Guest) on November 23, 2015

πŸ™πŸ™πŸ™

James Malima (Guest) on November 21, 2015

Sifa kwa Bwana!

Michael Onyango (Guest) on September 3, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Mercy Atieno (Guest) on July 26, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Raphael Okoth (Guest) on July 22, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Susan Wangari (Guest) on July 14, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Lydia Mahiga (Guest) on July 12, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Martin Otieno (Guest) on June 25, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Jane Muthui (Guest) on June 21, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Jane Muthui (Guest) on June 17, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Janet Mwikali (Guest) on May 6, 2015

Dumu katika Bwana.

Related Posts

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More