Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.
Kanuni ya imani
Date: December 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
SALA YA MTAKATIFU INYASI
Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ...
Read More
SALA YA KUOMBEA FAMILIA
Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More
Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More
SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE
Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More
SALA YA KUTUBU
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More
SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More
SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU
Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More
SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU
(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More
SALA YA IMANI
Mungu wangu,
nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More
LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B...
Read More
Sala ya Medali ya Mwujiza
Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More
Elijah Mutua (Guest) on August 19, 2017
ππ Nakusihi Mungu
Jane Malecela (Guest) on July 24, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Susan Wangari (Guest) on July 2, 2017
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Ruth Kibona (Guest) on June 23, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Raphael Okoth (Guest) on June 21, 2017
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
Elizabeth Mrema (Guest) on April 2, 2017
Sifa kwa Bwana!
Charles Mrope (Guest) on March 9, 2017
πππ
Robert Okello (Guest) on November 3, 2016
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Patrick Kidata (Guest) on October 22, 2016
Tembea kwa imani, si kwa kuona
George Tenga (Guest) on October 20, 2016
πππ« Mungu ni mwema
Margaret Mahiga (Guest) on August 23, 2016
Imani inaweza kusogeza milima
Victor Mwalimu (Guest) on June 28, 2016
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Rose Amukowa (Guest) on April 1, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2016
πππ
Chris Okello (Guest) on January 3, 2016
ππ Mbarikiwe sana
Rose Waithera (Guest) on October 23, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2015
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Andrew Mahiga (Guest) on August 23, 2015
πβ€οΈ Mungu akubariki
Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 18, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Elizabeth Mrope (Guest) on July 7, 2015
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Anthony Kariuki (Guest) on July 2, 2015
Mungu akubariki!
Diana Mumbua (Guest) on June 22, 2015
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu