Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Nilinde tena siku hii, Niache dhambi nikutii, Naomba sana Baba wee, Baraka yako nipokee, Bikira safi ee Maria, Nisipotee unisimamie, Mlinzi Mkuu Malaika wee, Kwa Mungu wetu niombee, Nitake nitende mema tu, Na mwisho nije kwake juu, Amina.
Majitoleo ya Asubuhi
Date: August 17, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Malkia wa Mbingu
Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More
SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More
ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida... Read More
SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More
LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ...
Read More
SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE
Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More
Sala kwa Mtakatifu Yosefu
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More
NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More
SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI
SALA YA ASUBUHI
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More
Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More
SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More
Peter Otieno (Guest) on November 23, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Anna Mchome (Guest) on September 14, 2017
πππ Mungu akufunike na upendo
Janet Mwikali (Guest) on September 8, 2017
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Nancy Kabura (Guest) on July 11, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Grace Njuguna (Guest) on July 3, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Edward Chepkoech (Guest) on May 13, 2017
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Kevin Maina (Guest) on December 24, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Benjamin Kibicho (Guest) on November 7, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
David Kawawa (Guest) on September 10, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Peter Mugendi (Guest) on September 10, 2016
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Rose Kiwanga (Guest) on July 5, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Agnes Sumaye (Guest) on June 11, 2016
Sifa kwa Bwana!
Grace Mligo (Guest) on May 16, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
Sarah Karani (Guest) on March 21, 2016
Endelea kuwa na imani!
Robert Ndunguru (Guest) on March 20, 2016
πππ« Mungu ni mwema
Samson Tibaijuka (Guest) on March 4, 2016
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Peter Tibaijuka (Guest) on August 29, 2015
Rehema hushinda hukumu
Lydia Wanyama (Guest) on August 25, 2015
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Elizabeth Mrema (Guest) on July 22, 2015
Nakuombea π
Mary Sokoine (Guest) on July 2, 2015
ππ Mbarikiwe sana
Charles Mrope (Guest) on June 1, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
Sekela (Guest) on April 27, 2015
πππ
Violet Mumo (Guest) on April 7, 2015
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine