Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Featured Image

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristu/ ambao ninataka kumpenda/ na kukusalimu kwa usikivu unaoendelea./ Kamwe nisikuudhi tena/ kwa sababu Wewe ni Mwema sana;/ Ee Mwema sana./ Ee Moyo Mtakatifu sana/ ninakupenda/ na ninataka kukupenda zaidi ya vitu vyote,/ kwa nguvu zangu zote/ na kwa uwezo wangu wote,/ ninatamani kuwa mali yako/ Wewe uliyejitoa Msalabani kwa ajili yangu/ kwa mateso makali./ Unionee huruma na udhaifu wangu/ na usiniruhusu kupotea./

Ninajitoa kabisa kwako/ ee moyo wa mapendo,/ kwa makusudi kuwa utu wangu,/ maisha na mateso yangu/ yalipie kukupenda,/ kukuheshimu/ na kukutukuza Wewe sasa na milele./ Ninakupenda ee Moyo Mwabudiwa wa Mwokozi wangu,/ ninakuomba kwako/ uamuru moyo wangu na kila kitu ndani yangu/ kikutukuze sasa na milele./ Amina.

(Na Mt Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nyamweya (Guest) on September 13, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Joyce Nkya (Guest) on August 21, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Monica Adhiambo (Guest) on August 3, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2017

Rehema hushinda hukumu

Monica Adhiambo (Guest) on April 2, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Edward Chepkoech (Guest) on March 16, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Nancy Akumu (Guest) on February 4, 2017

Sifa kwa Bwana!

Stephen Amollo (Guest) on September 28, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Grace Wairimu (Guest) on September 26, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Violet Mumo (Guest) on July 21, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Dorothy Nkya (Guest) on June 19, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Anna Mahiga (Guest) on April 4, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Grace Wairimu (Guest) on February 29, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Jacob Kiplangat (Guest) on February 16, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Francis Mrope (Guest) on February 13, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

John Lissu (Guest) on January 26, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Moses Kipkemboi (Guest) on January 25, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Elijah Mutua (Guest) on January 24, 2016

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Janet Mwikali (Guest) on January 20, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Nancy Komba (Guest) on January 6, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Jackson Makori (Guest) on November 7, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Irene Akoth (Guest) on July 22, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Joseph Mallya (Guest) on July 19, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

David Chacha (Guest) on April 1, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Related Posts

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More