Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nyamweya (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Wande (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mwangi (Guest) on July 7, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on July 5, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on June 14, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mary Njeri (Guest) on June 7, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on April 27, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Janet Sumari (Guest) on April 10, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on March 24, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on March 13, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on March 11, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Sarah Karani (Guest) on February 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Chris Okello (Guest) on February 20, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on February 8, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on February 7, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on January 25, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on November 11, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on November 11, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on October 20, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on October 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on October 12, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Paul Kamau (Guest) on September 27, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Latifa (Guest) on September 26, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Wanjiru (Guest) on September 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on August 18, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on August 12, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on July 14, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on June 30, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on June 23, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Majid (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Janet Mbithe (Guest) on April 29, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on April 25, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

John Lissu (Guest) on April 14, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 11, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kiza (Guest) on April 2, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on March 22, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on February 26, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 20, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on February 18, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Brian Karanja (Guest) on December 24, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on November 17, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on September 17, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on August 28, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on August 16, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on August 9, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Grace Mushi (Guest) on July 22, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Asha (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on June 4, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Khamis (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Mushi (Guest) on May 3, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Related Posts

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More