Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki hawa wachungaji

Featured Image

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana.

MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka.

WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF.

WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE:

We vp unatatizo gani mbona unalia???

AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zawadi (Guest) on March 14, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Jane Malecela (Guest) on February 28, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Charles Mboje (Guest) on February 16, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on February 11, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Joseph Kiwanga (Guest) on February 10, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwakisu (Guest) on January 3, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaidi (Guest) on December 16, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on October 31, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwagonda (Guest) on October 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Janet Mbithe (Guest) on October 10, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on September 28, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on September 10, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on September 3, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on August 18, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on August 17, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Baridi (Guest) on August 16, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ann Awino (Guest) on July 23, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Jamila (Guest) on July 22, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nassar (Guest) on July 19, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Samuel Omondi (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ruth Wanjiku (Guest) on June 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Shani (Guest) on June 19, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Victor Mwalimu (Guest) on June 1, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Omar (Guest) on May 25, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Malima (Guest) on April 23, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Anna Malela (Guest) on April 18, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Shukuru (Guest) on April 1, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Catherine Mkumbo (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nora Kidata (Guest) on February 5, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Masika (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Khatib (Guest) on December 29, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mwikali (Guest) on December 8, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Wairimu (Guest) on November 28, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on November 28, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Habiba (Guest) on October 13, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Brian Karanja (Guest) on October 2, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on October 1, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on September 16, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Fadhila (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Janet Wambura (Guest) on September 1, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Robert Ndunguru (Guest) on August 25, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on August 11, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Victor Mwalimu (Guest) on August 10, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on July 28, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Mtangi (Guest) on June 25, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on May 20, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on May 11, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nora Kidata (Guest) on March 22, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on March 18, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Irene Makena (Guest) on February 23, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nancy Kawawa (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on February 11, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on January 30, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on January 21, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Bakari (Guest) on January 1, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Thomas Mtaki (Guest) on December 31, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Michael Onyango (Guest) on December 17, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on December 3, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More