Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Featured Image

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama
Pastor akaendelea vizur endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri
" kama wew umewahi kumsaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA"
Binti akazimia

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Fatuma (Guest) on September 26, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Alex Nyamweya (Guest) on September 24, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Stephen Mushi (Guest) on September 23, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Kheri (Guest) on August 30, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Susan Wangari (Guest) on August 24, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Azima (Guest) on July 27, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Mutheu (Guest) on July 22, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on July 20, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Halimah (Guest) on July 18, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Samuel Were (Guest) on July 17, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Wilson Ombati (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mary Njeri (Guest) on July 5, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lucy Mahiga (Guest) on April 22, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Yahya (Guest) on April 22, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on April 17, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on April 12, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Charles Mchome (Guest) on April 10, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 22, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Baridi (Guest) on March 16, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Monica Lissu (Guest) on February 25, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Richard Mulwa (Guest) on February 21, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on January 25, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on January 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rahim (Guest) on December 17, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Henry Mollel (Guest) on December 15, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Joyce Aoko (Guest) on October 29, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Sumari (Guest) on October 2, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 16, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joseph Kitine (Guest) on August 7, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on July 23, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on July 18, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Samuel Were (Guest) on June 18, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on June 2, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on May 29, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Monica Adhiambo (Guest) on May 10, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Salima (Guest) on May 3, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hekima (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Lucy Mushi (Guest) on April 22, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on April 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Khatib (Guest) on April 16, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Victor Sokoine (Guest) on March 29, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Ann Awino (Guest) on March 28, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on February 25, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on January 27, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on January 24, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Stephen Kangethe (Guest) on January 5, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on December 4, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Monica Adhiambo (Guest) on November 27, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edward Lowassa (Guest) on November 16, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Selemani (Guest) on November 15, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on November 14, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Ibrahim (Guest) on November 5, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Margaret Mahiga (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

David Chacha (Guest) on October 26, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on October 1, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Makame (Guest) on August 15, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Kevin Maina (Guest) on July 9, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More