Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mke ni shida!

Featured Image

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumbani kwangu, mara hoo watoto wangu. Sisi ni mke na mume, kila kitu ni chetu. Jirekebishe bwana".πŸ‘΄πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜’
MKE: Yuko kimya anaendelea na shughuli zake za kupekua kabatini kama hasikii, na hakumjibu kitu mumewe.πŸ‘΅πŸ˜·
MUME: Akamuuliza kwa hamaki,"Sasa hapo unatafuta nini?".πŸ‘΄πŸ˜‘
MKE: "Sidiria yetu!!"πŸ‘™πŸ’
MUME: (kamfungia kabatini alafu kamwambia. "nipo chumbani , ")πŸ‘΄πŸ˜·πŸ˜·
πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jackson Makori (Guest) on December 11, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on November 17, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on November 16, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Yahya (Guest) on November 9, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nuru (Guest) on October 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Stephen Mushi (Guest) on October 5, 2021

Asante Ackyshine

Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ann Wambui (Guest) on September 16, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on September 7, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 2, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on August 19, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on August 6, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on July 31, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on July 31, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Omar (Guest) on July 7, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Diana Mumbua (Guest) on June 13, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanaisha (Guest) on June 1, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Andrew Odhiambo (Guest) on May 17, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Mchome (Guest) on March 27, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on March 5, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on March 3, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on February 15, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on February 6, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Elizabeth Malima (Guest) on February 3, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on January 8, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Alice Mwikali (Guest) on December 30, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on December 27, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on November 21, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on November 20, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Mary Mrope (Guest) on November 17, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rahma (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Emily Chepngeno (Guest) on September 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Esther Nyambura (Guest) on August 10, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Elizabeth Malima (Guest) on August 5, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Nassor (Guest) on July 21, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Samuel Were (Guest) on July 13, 2020

🀣πŸ”₯😊

Francis Njeru (Guest) on July 7, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on July 1, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on June 20, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Chum (Guest) on June 18, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Linda Karimi (Guest) on June 7, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sultan (Guest) on June 7, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joseph Mallya (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Malecela (Guest) on May 1, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on April 5, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwajabu (Guest) on February 17, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Michael Mboya (Guest) on January 9, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Zakaria (Guest) on December 7, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Samuel Were (Guest) on November 30, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on November 16, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

James Malima (Guest) on November 5, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on October 22, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on October 19, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on October 13, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Edith Cherotich (Guest) on October 5, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nora Kidata (Guest) on September 22, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on September 11, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?