Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Featured Image

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?

MKAKA: Samahani sana….jamaa akachukua Galaxy yake akapiga simu….aise saa ngapi saa hizi? mi ndio nimeingia toka USA nataka kurekibisha saa yangu ifwate muda wa huku. Na wewe uwahi kuchukua iPad nimekuja nazo tatu tu za zawadi. Halafu ntafutie mtoto mzuri nimumwagie midola niliyokuja nayo, ok ciao tuonane badae.
MDADA: Kaka samahani saa hizi ni saa…..
MKAKA: Achana na mimi wewe

Ha ha ha ha haaaaa!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mohamed (Guest) on April 23, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Robert Ndunguru (Guest) on April 23, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on March 16, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on February 21, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Kahina (Guest) on January 28, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Wanjala (Guest) on January 11, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on January 9, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Susan Wangari (Guest) on December 29, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on December 28, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sharon Kibiru (Guest) on December 17, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on November 5, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Sarah Karani (Guest) on October 30, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Shani (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Simon Kiprono (Guest) on October 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on September 5, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mchawi (Guest) on July 18, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on June 12, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on June 2, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Grace Njuguna (Guest) on May 21, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Yusra (Guest) on May 15, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 10, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on April 28, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Patrick Kidata (Guest) on April 8, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Mwangi (Guest) on April 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on March 31, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on March 1, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samson Tibaijuka (Guest) on February 11, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Nora Kidata (Guest) on January 9, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Faith Kariuki (Guest) on December 27, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on December 27, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rahim (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nancy Kawawa (Guest) on November 18, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Francis Mrope (Guest) on October 26, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

James Malima (Guest) on September 25, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on September 20, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Fadhila (Guest) on September 3, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Bernard Oduor (Guest) on July 25, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Philip Nyaga (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Grace Mushi (Guest) on July 10, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Tabu (Guest) on June 20, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Kibona (Guest) on May 18, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on May 11, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Kibwana (Guest) on May 5, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mwikali (Guest) on April 3, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on April 3, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on March 17, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on March 2, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on February 26, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Maulid (Guest) on January 24, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Hassan (Guest) on January 8, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on December 28, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Husna (Guest) on December 10, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Njeri (Guest) on December 3, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Wanjala (Guest) on November 11, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Biashara (Guest) on October 23, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Ahmed (Guest) on October 4, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Neema (Guest) on September 19, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Related Posts

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More