Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo.

Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali",

Wakapiga magoti…:
MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake.
MUME: Emen…

MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko.
MUME: Emen…

MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe.
MUME: Kimya…

MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana.
MUME: …….!!

MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali.
MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe.

Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Tibaijuka (Guest) on August 22, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwanaidi (Guest) on August 13, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Fikiri (Guest) on August 6, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

David Kawawa (Guest) on July 11, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Raphael Okoth (Guest) on July 5, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on June 13, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Edith Cherotich (Guest) on May 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Dorothy Nkya (Guest) on May 8, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

David Musyoka (Guest) on April 19, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Halimah (Guest) on April 15, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on March 11, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Mwikali (Guest) on February 13, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Charles Mchome (Guest) on January 22, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Wambura (Guest) on January 15, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jamal (Guest) on January 13, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on January 5, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on December 8, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on December 5, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on November 23, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on November 9, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on November 9, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine Nekesa (Guest) on October 7, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on August 3, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

James Kimani (Guest) on May 11, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on May 3, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on April 25, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Bakari (Guest) on April 18, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Stephen Kikwete (Guest) on April 16, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on April 7, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Daniel Obura (Guest) on March 4, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on February 6, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Biashara (Guest) on January 16, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

David Ochieng (Guest) on January 15, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nora Kidata (Guest) on November 29, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 23, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on November 20, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Jane Malecela (Guest) on October 28, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on October 24, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on October 24, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lydia Mutheu (Guest) on August 17, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on August 8, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mgeni (Guest) on July 21, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on June 8, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

John Malisa (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Mrope (Guest) on May 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on May 14, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Makame (Guest) on May 8, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Margaret Mahiga (Guest) on May 1, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Sokoine (Guest) on April 14, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Paul Ndomba (Guest) on April 14, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on March 15, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Khatib (Guest) on March 4, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Monica Lissu (Guest) on February 10, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on February 6, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More