Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Richard Mulwa (Guest) on March 6, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rukia (Guest) on February 17, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shani (Guest) on February 4, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Jebet (Guest) on January 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on January 18, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anna Mchome (Guest) on January 11, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mchawi (Guest) on January 7, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jane Malecela (Guest) on December 26, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on December 20, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Kawawa (Guest) on December 20, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on November 22, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on October 30, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on October 21, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Wande (Guest) on October 10, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Richard Mulwa (Guest) on September 1, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on August 18, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on July 5, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on June 6, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on June 5, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on April 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Patrick Mutua (Guest) on April 10, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 14, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on February 12, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Kiwanga (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on January 9, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Malisa (Guest) on December 27, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on December 16, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on December 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Baridi (Guest) on December 10, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Andrew Odhiambo (Guest) on November 23, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

James Malima (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sharifa (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Bakari (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Paul Ndomba (Guest) on September 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on September 23, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 15, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on August 31, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on August 19, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Abubakari (Guest) on May 30, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rahim (Guest) on May 29, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Chris Okello (Guest) on April 12, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on March 2, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Khatib (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Njuguna (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anna Mchome (Guest) on January 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Wande (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Patrick Kidata (Guest) on November 27, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Farida (Guest) on November 10, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on October 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on October 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on October 11, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Victor Kimario (Guest) on September 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More