Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Maana ya jina Bikira Maria

Featured Image
Jina asili kwa Kiaramu ni מרים, Maryām lenye maana ya "Bibi"; watafsiri wa kwanza wa Biblia ya Kiebrania wanaojulikana kama Septuaginta (LXX) waliliacha kama lilivyo wakiandika kwa Kigiriki Μαρίαμ, Mariam, au walilifupisha wakiandika Μαρία, Maria.
Katika Kurani jina hilo kwa Kiarabu ni مريم, Maryam.
Jina hili limeenea sana duniani kote, hasa kwa heshima ya mama wa Yesu.
Anatajwa kwa kawaida kwa kutanguliza sifa yake mojawapo, hasa Bikira.
Mapokeo ya karne ya 2 (Injili ya Yakobo) kuhusu Bikira Maria yanasema alikuwa binti pekee wa Yohakimu na Ana. Lakini habari muhimu zaidi ni zile zinazopatikana katika Biblia ya Kikristo.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Mahiga (Guest) on June 23, 2024

Neema ya Mungu inatosha kwako

Agnes Sumaye (Guest) on June 11, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Nancy Komba (Guest) on February 13, 2024

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Charles Mrope (Guest) on January 30, 2024

Mwamini katika mpango wake.

Anna Kibwana (Guest) on December 13, 2023

Rehema hushinda hukumu

Elizabeth Mrope (Guest) on September 19, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Joseph Kitine (Guest) on September 5, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Joseph Mallya (Guest) on May 13, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Grace Njuguna (Guest) on February 5, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Miriam Mchome (Guest) on November 27, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Richard Mulwa (Guest) on April 8, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Nancy Akumu (Guest) on November 12, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Nancy Kawawa (Guest) on August 28, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Anna Mchome (Guest) on July 24, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Patrick Mutua (Guest) on April 18, 2021

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Mary Sokoine (Guest) on March 22, 2021

Rehema zake hudumu milele

Sarah Achieng (Guest) on February 13, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Patrick Kidata (Guest) on December 14, 2020

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Janet Sumari (Guest) on January 20, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Patrick Akech (Guest) on October 7, 2019

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Betty Akinyi (Guest) on September 23, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Patrick Akech (Guest) on July 15, 2019

Sifa kwa Bwana!

Charles Mrope (Guest) on June 22, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Sarah Karani (Guest) on May 13, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Linda Karimi (Guest) on April 29, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Michael Onyango (Guest) on April 19, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Lucy Wangui (Guest) on March 19, 2019

Kwa Mungu, yote yanawezekana

David Ochieng (Guest) on December 8, 2018

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Jane Muthui (Guest) on August 13, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Joyce Nkya (Guest) on July 20, 2018

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Edwin Ndambuki (Guest) on June 4, 2018

Dumu katika Bwana.

Samuel Were (Guest) on April 22, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lydia Mutheu (Guest) on March 29, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Samson Mahiga (Guest) on September 25, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Grace Mushi (Guest) on July 14, 2017

Mungu akubariki!

Monica Adhiambo (Guest) on June 22, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Elizabeth Mtei (Guest) on April 15, 2017

Endelea kuwa na imani!

David Kawawa (Guest) on April 8, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Lucy Wangui (Guest) on March 20, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Margaret Mahiga (Guest) on January 24, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Edith Cherotich (Guest) on October 6, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Alice Jebet (Guest) on August 23, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Mariam Hassan (Guest) on March 28, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Peter Mugendi (Guest) on March 24, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Nora Kidata (Guest) on January 30, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Rose Amukowa (Guest) on January 19, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Betty Akinyi (Guest) on January 3, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Robert Okello (Guest) on December 25, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Mutua (Guest) on August 3, 2015

Nakuombea 🙏

Raphael Okoth (Guest) on April 4, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

Mungu ni nani? Sifa za Mungu

Mungu ni nani? Sifa za Mungu

Read More
Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Mungu ni muumba na mwanzilishi wa maisha yote duniani. Kama waam... Read More

Swala la Mapadri kutooa limeandikwa wapi katika Biblia?

Swala la Mapadri kutooa limeandikwa wapi katika Biblia?

Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu wa haki katika jamii?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu wa haki katika jamii?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu... Read More

Maana ya Kumuamini Mungu

Maana ya Kumuamini Mungu

Read More
Mafundisho (Dogma) ya Kanisa Katoliki kuhusu Bikira Maria

Mafundisho (Dogma) ya Kanisa Katoliki kuhusu Bikira Maria

Read More
Je, Kanisa Katoliki linamwamini ufufuo wa wafu na hukumu ya mwisho?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini ufufuo wa wafu na hukumu ya mwisho?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini ufufuo wa wafu na hukumu ya mwisho? Jibu ni ndio! Kanisa Katoliki... Read More

Huruma ya Mungu: Faraja na Ufariji katika Majaribu

Huruma ya Mungu: Faraja na Ufariji katika Majaribu

Huruma ya Mungu: Faraja na Ufariji katika Majaribu

Huruma ya Mungu ni zawadi kubwa kutoka ... Read More

Kuumbwa kwa Dunia

Kuumbwa kwa Dunia

Read More
Je, Kanisa Katoliki linaheshimu na kufundisha juu ya maombi kwa watakatifu?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu na kufundisha juu ya maombi kwa watakatifu?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu na kufundisha juu ya maombi kwa watakatifu? Jibu ni ndio! Kanisa ... Read More

Unayopaswa kujua Kuhusu Kipindi cha Majilio

Unayopaswa kujua Kuhusu Kipindi cha Majilio

Read More
Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Karibu kwenye makala hii, ambapo tutajadili suala la utoaji mimba na jinsi Kanisa Katoliki linavy... Read More