Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Featured Image

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFREND»»kwanin hutaki kujibu sms yangu,au huna mda»??

BOYFRENDΒ»>najitahid kukujibu lakin mtandao unasumbua,imefika??(SENDING FAILED)

GARLFREND»»kama hunipend bhas usinijbu,kama unanipenda kwel bhas nijibu

BOYFREND»»i love you (SENDING FAILED)
GALFREND»»do you lov me????

BOYFREND»»i lov you baby(SENDING FAILED)

GARLFREND»»usiongee na mimi tenaaaaa

BOYFREND»»i love you sweetieeee(SENDING FAILED)

GARLFREND»»unataka mim na wew tuachaneee????

BOYFREND»»nshachoka mie na huu upUmbavu,shenz (MESSAGE SENT)

πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ‘†πŸ‘†πŸ˜„πŸ˜„πŸ‘†πŸ‘†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Violet Mumo (Guest) on July 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Otieno (Guest) on July 14, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 11, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

David Nyerere (Guest) on July 10, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Majid (Guest) on June 28, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Rose Lowassa (Guest) on June 17, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Andrew Mchome (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Mbithe (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Monica Lissu (Guest) on April 27, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine Nduta (Guest) on April 11, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

George Wanjala (Guest) on April 11, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on March 27, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on March 23, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on January 17, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

John Lissu (Guest) on January 13, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Sultan (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Henry Mollel (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nora Kidata (Guest) on October 25, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on October 23, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Mushi (Guest) on August 16, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anthony Kariuki (Guest) on July 27, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Peter Mwambui (Guest) on July 16, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on July 13, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Wairimu (Guest) on July 8, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Esther Cheruiyot (Guest) on July 4, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 26, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on April 5, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on February 22, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on February 21, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on February 18, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on January 3, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Chris Okello (Guest) on December 28, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on December 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on December 15, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on December 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chiku (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mtaki (Guest) on December 1, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issack (Guest) on November 17, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Amani (Guest) on November 4, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sarah Mbise (Guest) on October 29, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mwanakhamis (Guest) on October 15, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Kimario (Guest) on October 14, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Muslima (Guest) on October 4, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mashaka (Guest) on August 21, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwachumu (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lucy Wangui (Guest) on July 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on June 8, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Kazija (Guest) on April 28, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 5, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwanaidha (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Richard Mulwa (Guest) on December 1, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on November 29, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on October 28, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alex Nakitare (Guest) on October 17, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Wanjala (Guest) on September 20, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Kassim (Guest) on September 19, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

James Malima (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kassim (Guest) on July 14, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Related Posts

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More