Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.

Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.

Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.

Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.

Wakaingia msituni kila mtu njia yake.

… Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.

Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.

Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?”

Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Njeri (Guest) on June 22, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 12, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on June 9, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on May 13, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Latifa (Guest) on May 1, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Leila (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Janet Sumaye (Guest) on April 18, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 17, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on April 2, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Monica Lissu (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on March 3, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Anna Mchome (Guest) on February 17, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on February 9, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Amani (Guest) on February 6, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 27, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on January 7, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jamila (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Agnes Lowassa (Guest) on January 5, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mwajabu (Guest) on December 31, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Paul Ndomba (Guest) on December 16, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on September 10, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on September 8, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Janet Mwikali (Guest) on September 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mwalimu (Guest) on August 8, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Latifa (Guest) on July 14, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elizabeth Malima (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Catherine Naliaka (Guest) on May 31, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on May 8, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on May 6, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on April 15, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jamal (Guest) on March 31, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Patrick Mutua (Guest) on March 28, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on March 20, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 1, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on February 28, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rose Lowassa (Guest) on February 12, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

James Kimani (Guest) on February 11, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Aziza (Guest) on January 31, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elijah Mutua (Guest) on January 23, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on December 22, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on November 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on November 1, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on October 7, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on September 1, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Rose Kiwanga (Guest) on August 31, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Jane Muthui (Guest) on August 23, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Diana Mumbua (Guest) on August 19, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on July 24, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on July 20, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 8, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on May 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Latifa (Guest) on May 17, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rashid (Guest) on February 6, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on January 28, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on January 25, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 7, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 29, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Rahma (Guest) on October 29, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ann Wambui (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More