Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Featured Image
Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, kijani. Wale wanawake wakatatizika baada ya mda wakajua ni chupi walizovaa. Wakasema basi kesho tubadilisheni. Siku ya pili wakapita tena kasuku akasema nyeusi, manjano, zambarau. Loh! Wanawake wakastaajabu sana. Wakasema lazima wamshinde yule kasuku kwa hekima. Wakaambiana basi kesho tusivae chupi tuone kama ni kweli anaona mpaka ndani. Siku ilipowadia wakapita mbele ya kasuku akasema- kipilipili, kipara, rasta…
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 14, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chum (Guest) on July 3, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Stephen Kangethe (Guest) on June 25, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on June 24, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sharifa (Guest) on June 14, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Muslima (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Margaret Anyango (Guest) on May 21, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Salima (Guest) on May 19, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Robert Ndunguru (Guest) on April 20, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Elizabeth Mrema (Guest) on March 16, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Halima (Guest) on March 8, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on March 6, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Juma (Guest) on February 15, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Michael Mboya (Guest) on January 17, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

George Wanjala (Guest) on January 8, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on January 3, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on January 2, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 25, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on December 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on November 23, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 14, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Mligo (Guest) on November 12, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Joseph Kiwanga (Guest) on October 25, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mchawi (Guest) on October 24, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwanahawa (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Raha (Guest) on September 27, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Victor Malima (Guest) on September 2, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on August 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on August 5, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on July 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on July 8, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Ruth Kibona (Guest) on June 25, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 21, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on June 9, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on May 13, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 13, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on May 8, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Anna Malela (Guest) on April 15, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on April 9, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Violet Mumo (Guest) on March 29, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Miriam Mchome (Guest) on February 22, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bakari (Guest) on February 3, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on February 1, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rehema (Guest) on January 17, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mboje (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on January 6, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on January 1, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Patrick Mutua (Guest) on December 17, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on December 12, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Umi (Guest) on November 30, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Nyerere (Guest) on November 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on October 16, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on October 14, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Monica Lissu (Guest) on September 30, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on September 27, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sharon Kibiru (Guest) on September 4, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Zawadi (Guest) on August 9, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on July 31, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Betty Cheruiyot (Guest) on July 30, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joy Wacera (Guest) on July 28, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More