Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.





Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.





Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…





Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.





Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.





Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.





Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!





Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nduta (Guest) on July 5, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on July 1, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Guest (Guest) on December 20, 2025

next nini ili happen

Samuel Omondi (Guest) on May 28, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 11, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mwanaisha (Guest) on May 9, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on April 18, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Henry Mollel (Guest) on March 21, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Latifa (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Sokoine (Guest) on February 2, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on January 15, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on January 8, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Philip Nyaga (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 27, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Catherine Naliaka (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwajabu (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Francis Mtangi (Guest) on December 15, 2023

😊🀣πŸ”₯

Wande (Guest) on November 30, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

David Nyerere (Guest) on November 28, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on November 19, 2023

Asante Ackyshine

Victor Mwalimu (Guest) on November 12, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on November 12, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on September 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on August 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on August 11, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Carol Nyakio (Guest) on July 30, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on July 19, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Robert Okello (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Betty Kimaro (Guest) on June 30, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 14, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on June 12, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jaffar (Guest) on May 4, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sarah Karani (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on March 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on February 8, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Kamande (Guest) on February 3, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on January 21, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on January 15, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on November 19, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rukia (Guest) on November 13, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Kidata (Guest) on November 1, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on October 16, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Mrope (Guest) on October 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on October 1, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Baraka (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Josephine Nekesa (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on September 7, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on August 30, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Zulekha (Guest) on August 19, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Sarah Karani (Guest) on August 11, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on July 24, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Farida (Guest) on July 23, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More