Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Frank jr (User) on July 4, 2025

Hahahaha hatari mmetisha

Peter Tibaijuka (Guest) on May 8, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Guest (Guest) on August 9, 2025

pole

Robert Ndunguru (Guest) on April 9, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Yusra (Guest) on March 2, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2024

🀣πŸ”₯😊

Anna Malela (Guest) on February 17, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mbithe (Guest) on February 13, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Fadhila (Guest) on February 3, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nassar (Guest) on January 31, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Irene Makena (Guest) on December 1, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Kawawa (Guest) on November 27, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Simon Kiprono (Guest) on November 21, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Andrew Mahiga (Guest) on November 2, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on October 29, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

John Lissu (Guest) on October 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 19, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Aziza (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jacob Kiplangat (Guest) on August 1, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 18, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on June 1, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on April 16, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on April 12, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nasra (Guest) on March 31, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Diana Mallya (Guest) on March 27, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on March 26, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Sumaye (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

James Malima (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mariam Kawawa (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on December 17, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on November 2, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on October 23, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

David Sokoine (Guest) on August 29, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on August 18, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on August 18, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on August 2, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on July 30, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwanaisha (Guest) on July 18, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on July 6, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on July 1, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 9, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mgeni (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Faith Kariuki (Guest) on January 5, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on December 18, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Mgeni (Guest) on December 11, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Tabitha Okumu (Guest) on December 8, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on December 3, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Robert Ndunguru (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on November 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on October 29, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Aziza (Guest) on October 14, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rose Kiwanga (Guest) on September 20, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on August 30, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Aziza (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Frank jr (User) on July 4, 2025

vp aziza

Betty Akinyi (Guest) on June 29, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More