Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Featured Image

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo waoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Emily Chepngeno (Guest) on July 18, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nancy Kabura (Guest) on July 6, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on July 2, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Sumari (Guest) on June 29, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on May 8, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Francis Mrope (Guest) on April 27, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mtaki (Guest) on April 21, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Anna Sumari (Guest) on April 16, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on April 13, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on April 11, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on March 29, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on March 18, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on February 6, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on February 5, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on January 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on January 16, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on January 10, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on December 26, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on November 3, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on November 3, 2023

🀣πŸ”₯😊

Joseph Njoroge (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Monica Adhiambo (Guest) on October 7, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on October 5, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on August 29, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mary Njeri (Guest) on July 17, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on July 12, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 13, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mary Njeri (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 26, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on May 16, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on May 7, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarafina (Guest) on May 5, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Kangethe (Guest) on April 30, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Omari (Guest) on April 22, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwanakhamis (Guest) on March 21, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on March 20, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on March 13, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on February 5, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mzee (Guest) on January 20, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 19, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Odhiambo (Guest) on January 18, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Mrope (Guest) on December 21, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Henry Mollel (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on December 12, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Robert Okello (Guest) on November 12, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Linda Karimi (Guest) on November 6, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lucy Wangui (Guest) on October 10, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on September 11, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zakaria (Guest) on September 2, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Nyerere (Guest) on August 27, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on August 10, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Issack (Guest) on August 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 24, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 15, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Salima (Guest) on May 19, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on May 5, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More