Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Miriam Mchome (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Elizabeth Mtei (Guest) on May 22, 2024

🀣πŸ”₯😊

Charles Mrope (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mwambui (Guest) on April 19, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on April 3, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Salima (Guest) on March 31, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on March 1, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on February 20, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on January 12, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on January 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Monica Nyalandu (Guest) on December 28, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on December 20, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mwangi (Guest) on December 4, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nahida (Guest) on November 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kenneth Murithi (Guest) on October 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Farida (Guest) on October 28, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Francis Mrope (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Majid (Guest) on September 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ann Awino (Guest) on September 21, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mashaka (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Rose Kiwanga (Guest) on September 18, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 2, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarafina (Guest) on August 28, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on July 12, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 14, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on June 8, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on May 21, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on May 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 16, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 22, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on March 18, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Kimario (Guest) on March 9, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Mahiga (Guest) on March 3, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on February 7, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Masika (Guest) on January 16, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sarah Achieng (Guest) on January 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Husna (Guest) on January 6, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Mushi (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on December 24, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on December 9, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mwikali (Guest) on November 26, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on November 13, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 8, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Daniel Obura (Guest) on October 20, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on October 18, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Maneno (Guest) on September 18, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Mallya (Guest) on September 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Khalifa (Guest) on August 30, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Moses Mwita (Guest) on August 17, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Kawawa (Guest) on July 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on July 13, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 6, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More