Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako kumwambia akufanye wa kipekeee
Updated at: 2024-05-25 15:24:55 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu
Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe kumwambia unavyommisi
Mawingu yametanda napanda kwenye kitanda, macho nayaangaza, taratibu navuta shuka na kujitanda, mishumaa pembezoni inaniangaza, mziki laini wanibembeleza
Updated at: 2024-05-25 15:37:23 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mawingu yametanda napanda kwenye kitanda, macho nayaangaza, taratibu navuta shuka na kujitanda, mishumaa pembezoni inaniangaza, mziki laini wanibembeleza kitu pekee nilichokikosa ni joto lako na vijimambo vyako kunako kitanda!
SMS nzuri ya kumtumia umpendaye kumwambia unavyompenda na kumridhia
Updated at: 2024-05-25 15:24:10 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,ukweli usio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu,moyoni mwangu nimeridhia… .nakupenda daima mpenzi!
Updated at: 2024-05-25 15:24:52 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
nimetuma ndege wangu auzunguke ''moyo'' wako kwa '' upendo '' auguse ''uso'' wako kwa ''faraja'' na mwisho akunong'oneze sikioni taratibu kuwa nakupenda.
SMS kali ya kimahaba kumwambia mpenzi wako unavyoogopa kwa kuwa unampenda sana
Updated at: 2024-05-25 15:22:56 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mpenzi kwa mara ya kwanza nilipokuana niliogopa kukuambia, hata nilipokuambia niliogopa kukupenda, nilipokupenda sasa naogopa mno kukupoteza. Kusema kweli siko tayari kukukosa katika maisha yangu.