Meseji ya kumwambia mpenzi wako asiwaze hata siku moja kuwa unawea kumuacha
Updated at: 2024-05-25 15:25:03 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Asali wa moyo wangu, fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba, jua linaweza kusimama, lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza kukuacha.
Updated at: 2024-05-25 15:26:56 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa,wengi watakuambia maneno kila kukicha,lakini nakuambia wapo ambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kutia doa ndoa yako ,rafiki yangu kipenzi kwani wengi waitamani ndoa lakini hawajapata wa kuwaowa
Updated at: 2024-05-25 15:22:39 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu muhimu, unaeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. "NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANGU"
Updated at: 2024-05-25 15:27:04 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
"CHAI" bila sukari hainyweki. "ASALI" bila nyuki haitengenezeki. "PETE" bila kidole haivaliki. Na "MIMI" bila ya kukusalimia wala siridhiki! pokea maneno yafuatayo "I LOVE YOU" pokea my lovely kiss "MWAAAAAAA" my best wishes mtumie umpendae kama na mm nimo nirudishie.
SMS ya kumdekeza mpenzi wako na kumwambia unavyompenda
Updated at: 2024-05-25 15:24:50 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi ni zawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyo wangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana.
SMS ya Birthday ya kumtakia mpezi wako heri ya sikukuu ya kuzaliwa
Updated at: 2024-05-25 15:26:36 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Dear siku zimekaribia, miaka …… utatimiza katika hii dunia, hakika najivunia kupata mpenzi aliyetulia, hongera kwa wako wazazi kwa kunizalia kipenzi, zawadi yangu toka kwangu ni ahadi ya kulienzi lako penzi. Happy Birthday mpenzi.
SMS yakumtumia mtu unayempenda lakini hamko kwenye mahusiano
Updated at: 2024-05-25 15:26:59 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
macho huona na moyo hurdhia,ila co kila kitu jicho lionalo moyo hurdhia.lakn pind moyo urdhiapo upendo moyon huingia.moyo huwa kpofu japo wng wa hisia.upendo ndan ya moyo haupimwi kwa mizani kwa unayemzimikia. moyo wangu umepata hisia Kwa flan licha bdo cjamjua.