Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Featured Image
236 Comments

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Featured Image
238 Comments

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 Comments

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Featured Image
236 Comments

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi

236 Comments

Watu wana vimaneno

Featured Image
236 Comments

Cheki kilichompata huyu dada!!

Featured Image
237 Comments

Hawa Machizi wamezidi sasa

Featured Image
236 Comments

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Featured Image
236 Comments

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Featured Image

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita binti mmoja anayejiuza akamsogelea yule mke wa jamaa

 

237 Comments