Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image
RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
236 Comments

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Featured Image
Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ninyi ni MKE na MUME"
236 Comments

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Featured Image
236 Comments

SMS Mafua ndiyo hii

Featured Image
237 Comments

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

236 Comments

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Featured Image
236 Comments

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Featured Image
236 Comments

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Featured Image
236 Comments

Huyu panya wa tatu ni noma

Featured Image
236 Comments