Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Featured Image
236 Comments

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Featured Image

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wang hata mimi nilikuwa nataka nikuambie hivyo hivyo

 

236 Comments

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image
238 Comments

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto. MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?
237 Comments

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Featured Image
Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani,
236 Comments

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Featured Image
236 Comments

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Featured Image
Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka nje kuongea na cm. Mtoto akamwinamia Doctor na kusema kwa sauti ya chini:- "Doctor Kwenye dozi ya dawa niandikie na
236 Comments

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?

236 Comments

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Featured Image
237 Comments

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
237 Comments