Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Tabia za wachepukaji

Featured Image
236 Comments

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Featured Image
237 Comments

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Featured Image
Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: Ni fundi wa kufunga ATM Demu: Wow dont tel me i love you myn mwa mwa mwaaaaah
236 Comments

Misemo ya kina dada

Featured Image
237 Comments

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Featured Image
236 Comments

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Featured Image
236 Comments

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Featured Image
236 Comments

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Featured Image
236 Comments

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

 

236 Comments

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image
BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote. SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week. MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week (Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
236 Comments