Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jinsi ya kumjua mwanamke ambaye hajatulia a.k.a kicheche

Featured Image

Kumjua mwanamke ambaye hajatulia unaangalia mambo haya yafuatayo


Siyo rahisi kupenda


Dalili ya kwanza ya mwanamke kicheche mi kwamba huwa huwa mara nyingi hawataki mambo ya mahusiano na mambo ya kupendana, wanataka siku zote wawe huru hata mtu yeyote mwenye uwezo zaidi ya aliyenaye akitokea, iwe rahisi kwake kujihusisha naye. Utasikia akisema tuwe Marafiki tuu.


Β 

Anachukulia mahusiano kama njia ya kujinufaisha


Wanawake vicheche huwa hawaingii katika mahusiano kwa sababu wamependa, siku zote wanakuwa na agenda ya siri nyuma yake, unaweza kuita faida, kiujumla kwa kitu chochote atakachokupa katika mahusiano, ujue hapo anatarajia faida yake, utakuta anakuchangamkia na kukufanyia vitu ambavyo hukutarajia, ila lengo lake mwisho wa siku utakuta anaishia kukuomba kitu Fulani kutoka kwako. Yupo tayari kufanya chochote hata kama kinamgarimu ilimradi apate kile anachokitaka.


Anategeka kirahisi kwa vitu vidogo na kwa mtu yoyote


Kwa kawaida mwanamke kicheche, pale tu utapomfurahisha na kumpa zawadi, au hela kila akuombapo unamsaidia, ni rahisi sana kukubali chochote utakacho mwambia afanye, haijalishi kuwa unamalengo gani nae ya baadae au la, ilimradi tu unampa anachotaka. Na hii hutokea kwa kila mwanaume anayemkuta ambaye anaweza kumpa kile anachotaka basi atamfanyia chochote huyo mwanaume anachotaka.


Β 

Anamarafiki wakiume kwa manufaa


Mwanamke kicheche huwa na Marafiki wengi wa kiume kila mmoja kwa ajili ya faida. Mwanamke kuwa na marafiki wa kiume siyo tatizo, ila tatizo linakuja pale ukute mwanamke ana marafiki wa kiume ambao kila rafiki yake huyo anajukumu lake katika maisha yake, kifaida zaidi na siyo tu rafiki wa story za hapa na pale. Unakuta Marafiki hao wote kila mtu anahudumia na wote unaambiwa ni marafiki tu, unaweza kusikia huyu wa kulipia saloon, mwingine wa vocha n.k, basi ujue huyo ni kicheche.


Β 

Ni rahisi kuvunja mahusiano usipompa anachotaka


Mwanamke kicheche anakasirika haraka usipompa kile anachokitaka. Wanawake kama hawa wamezoea kupata kitu chochote watakacho kutoka kwa mwanamme, na ukibahatika kupendwa na mtu kama huyu ujue si bure, ameona kuna kitu utakachoweza kumsaidia, wengine utakuta wanapohitaji kitu wanazunguka na story nyingi ila mwisho wa siku kama mtu muelewa utajua tu anataka nini, tena hata kubembelezwa hashindwi, ila usimpe sasa anachohitaji, unaweza usiongeleshwe wiki nzima hadi pale utapokamilisha hitaji lake. Ukishindwa kabisa kumpa anachokitaka basi anavunja uhusiano na wewe na kutafuta mtu mwingine anayeweza kumpa anachokitaka.




Unaweza kuwafahamu wanawake zaidi kupitia Kitabu hiki cha SIRI ZA WANAWAKE. Unaweza kudownload kitabu hiki moja kwa moja hapa





[products columns="2" ids="30827"]
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuwa na Urafiki katika Familia

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuwa na Urafiki katika Familia

Kila familia inahitaji ushirikiano mzuri na urafiki wenye nguvu ili kuweza kudumisha mahusiano ma... Read More

Kuimarisha Mapenzi ya Baada ya Kufanya Mapenzi: Kugundua Mazoezi ya Intimiteti

Kuimarisha Mapenzi ya Baada ya Kufanya Mapenzi: Kugundua Mazoezi ya Intimiteti

Penzi ni muhimu na ni sehemu muhimu ya mahusiano ya kimapenzi. Lakini, kuendeleza mapenzi baada y... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na mabadiliko ya kibinafsi na mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na mabadiliko ya kibinafsi na mpenzi wako

Kuelewa na kukabiliana na mabadiliko ya kibinafsi ni sehemu muhimu ya uhusiano wenye afya na mpenzi ... Read More
Njia za Kuimarisha Ushirikiano na Kuwa na Amani na Furaha katika Familia yako

Njia za Kuimarisha Ushirikiano na Kuwa na Amani na Furaha katika Familia yako

  1. Kujenga mawasiliano ya wazi na familia yako: Ni muhimu kuwa na mawasiliano ya wazi na f... Read More

Jinsi ya Kugawana Majukumu ya Nyumbani na mke wako

Jinsi ya Kugawana Majukumu ya Nyumbani na mke wako

Kugawana majukumu ya nyumbani ni muhimu katika kujenga usawa na ushirikiano katika ndoa. Hapa kuna n... Read More
Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuweka Nafasi ya Shughuli za Pamoja katika Familia

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuweka Nafasi ya Shughuli za Pamoja katika Familia

Habari za leo wapenzi wa ushirikiano wa kijamii, leo tutajadili njia za kuimarisha ushirikiano wa... Read More

Kuweka Mazingira ya Shukrani na Kuwa na Amani na Furaha katika Familia

Kuweka Mazingira ya Shukrani na Kuwa na Amani na Furaha katika Familia

Kuweka Mazingira ya Shukrani na Kuwa na Amani na Furaha katika Familia

Familia ni muhimu s... Read More

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna tofauti kubwa sana za kihisi... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na mabadiliko ya kijamii na kiteknolojia na mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na mabadiliko ya kijamii na kiteknolojia na mpenzi wako

Mabadiliko ya kijamii na kiteknolojia ni jambo ambalo linaweza kuwa na athari kubwa katika mahusi... Read More

Kukabiliana na Mazoea ya Kutothamini katika Mahusiano: Kuelewa Umuhimu wa Kuonyesha Shukrani

Kukabiliana na Mazoea ya Kutothamini katika Mahusiano: Kuelewa Umuhimu wa Kuonyesha Shukrani

Mahusiano ni sehemu muhimu sana katika maisha ya kila mmoja wetu. Ni muhimu kuwa na uhusiano mzur... Read More

Kufanya Mapenzi na Afya: Jinsi yanavyoathiri Mwili na Akili

Kufanya Mapenzi na Afya: Jinsi yanavyoathiri Mwili na Akili

Kufanya mapenzi ni moja ya mambo muhimu katika maisha yetu. Kwa kuwa mapenzi yana athari kubwa kw... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya teknolojia na maendeleo ya kidijitali

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya teknolojia na maendeleo ya kidijitali

Katika maisha yetu ya kisasa, teknolojia imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha yetu ya kila siku. ... Read More