Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mbinu za kumfanya mwanamke akukubali

Featured Image

Njia za kumfanya akukubali ni kama ifuatavyo


Uwe na muonekano mzuri


Wanawake wanapenda wanaume wasafi na watanashati kwa hiyo ukiwa msafi na mtanashati utakua na mvuto kwake. Hivyo utakapoamua kumshawishi kufanya mapenzi itakua rahisi yeye kuwa rahisi kukubali.


Mfanye ajisikie huru


Ni rahisi mwanamke kufanya mapenzi na mtu anayejisikia huru mbaele zake na ambaye yupo huru kuongea na kufanya nae mambo mengine ya kawaida katika maisha. Kwa hiyo ili uweze kumshawishi mwanamke kufanya mapenzi na wewe njia nzuri ni kumfanya ajisikie yupo huru mbele yako na kasha atakua huru kufanya mapenzi na wewe.


 

Mfurahishe


Mfanye ajisikie mwenye furaha kila anapokuwa na wewe na atamani kuwa na wewe. Akishajiskia mwenye furaha kila anapokuwa na wewe ni rahisi kushawishika kuwa na wewe kimapenzi.


Mfanye ajione kuwa yeye ni mzuri


Mwanamke anapenda sana na anavutiwa na mwanamme anayeona ubora wake au anayemsifia kuwa ni mzuri.


Mfanye akuamini


Mfanye aamini kwamba hata baada ya kufanya mapenzi bado mtakua pamoja na sio mwisho wa mahusiano yenu au urafiki wenu.


 

Usiwe na haraka, Mpe muda


Usiwe na haraka ya kumwambia kuwa unataka kufanya mapenzi na yeye bali subiri mpaka utakapoona yupo tayari au anaelekea kukuhitaji.


Mfanye akuone mwaminifu


Mfanye akuone mwaminifu kwa kutomchanganya na wanawake wengine. Usimuonyeshe kuwa una mahusiano na wanawake wengine. Mfanye aamini kuwa unamuhitaji yeye tuu.


 

Mjali kama mwanamke


Mfanye ajiskie kuwa mwanamke. Jaribu kuonyesha kuwa mwelewa, onyesha kuwa unajali, mkarimu na muonyeshe kuwa wewe ni msaada kwake. Mfungulie mlango, mbebee begi au pochi yake n.k.


Onyesha kuwa unapenda kila kitu kutoka kwake


Muonyeshe kuwa unampenda yeye na vyote vyake. Onyesha kuwa umevutiwa na yeye na mambo yake yote na sio mwili wake tuu.






Yafahamu Mambo Mbalimbali kuhusiana na Wanawake kwa Ku-Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE




Kitabu hiki kina topiki Zifuatazo;
1. Mambo anayohitaji mwanamke kutoka kwa Mwanaume
2. Mambo yanayowavutia wanawake kutoka kwa wanaume
3. Mambo wanayoyapenda wanawake wakati wa kufanya mapenzi
4. Dalili za mwanamke kicheche
5. Maswali ya kujiuliza kama mwanamke anakupenda kwa dhati au anakudanganya
6. Tabia za mwanamke anayekupenda lakini hawezi kusema
7. Ishara za mwanamke aliyevutiwa na wewe
8. Dalili za mwanamke anayeelekea kukukubali
9. Mambo ambayo mwanamke hawezi kukwambia
10. Njia za kudumisha na kuamsha mapenzi na mwanamke





Kitabu hiki ni Soft copy [pdf] kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa moja kirahisi kabisa hata kwenye simu yako. Utatumiwa Kopi ya kitabu hiki kwenye email yako na utaweza kukihifadhi na kusoma wakati wowote utakaotaka.





[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kuweka Mazingira ya Kufurahisha na Amani katika Familia Yako

Kuweka Mazingira ya Kufurahisha na Amani katika Familia Yako

Kuishi katika familia yenye amani na furaha ni jambo la muhimu sana kwa afya na ustawi wa kila mm... Read More

Jinsi ya Kuwa Wazazi Wanaoongoza na Kuhamasisha Watoto: Sifa na Mbinu

Jinsi ya Kuwa Wazazi Wanaoongoza na Kuhamasisha Watoto: Sifa na Mbinu

Karibu kwenye makala hii inayokusaidia kuwa mzazi mwenye uongozi na uhamasishaji kwa watoto wako.... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya mila na tamaduni za familia zenu

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya mila na tamaduni za familia zenu

Leo hii, nataka kuzungumzia kuhusu jinsi ya kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya mila na ... Read More

Jinsi ya Kujenga Mazoea ya Shukrani na Kuonyesha Furaha kwa mke wako

Jinsi ya Kujenga Mazoea ya Shukrani na Kuonyesha Furaha kwa mke wako

Kujenga mazoea ya shukrani na kuonyesha furaha kwa mke wako ni muhimu katika kudumisha uhusiano weny... Read More
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kushughulikia maumivu na majeraha ya kihisia

Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kushughulikia maumivu na majeraha ya kihisia

Kushughulikia maumivu na majeraha ya kihisia ni muhimu katika kujenga na kudumisha uhusiano wenye af... Read More
Uhusiano wa Kufanya Mapenzi na Mazoea ya Kijamii: Kuathiri na Kubadilisha Mtazamo wetu

Uhusiano wa Kufanya Mapenzi na Mazoea ya Kijamii: Kuathiri na Kubadilisha Mtazamo wetu

Uhusiano wa Kufanya Mapenzi na Mazoea ya Kijamii: Kuathiri na Kubadilisha Mtazamo wetu

Map... Read More

Je, mawasiliano ni muhimu katika kuboresha uzoefu wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, mawasiliano ni muhimu katika kuboresha uzoefu wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, wewe na mwenzi wako mnahisi kama hamjawai kufurahia tendo la ndoa? Kila wakati mnafikiri kuwa... Read More

Jinsi ya Kukuza upendo na uhusiano wa kimapenzi na mpenzi wako

Jinsi ya Kukuza upendo na uhusiano wa kimapenzi na mpenzi wako

Kukuza upendo na uhusiano wa kimapenzi na mpenzi wako ni muhimu kwa kudumisha uhusiano wenye furaha ... Read More
Kujenga Mazingira ya Upendo na Ukarimu katika Familia ili Kuwa na Amani na Furaha

Kujenga Mazingira ya Upendo na Ukarimu katika Familia ili Kuwa na Amani na Furaha

Karibu kwenye makala hii inayojadili jinsi ya kujenga mazingira ya upendo na ukarimu katika famil... Read More

Kujenga Ukaribu wa Kihisia kupitia Kufanya Mapenzi: Kuunganisha Roho na Miili

Kujenga Ukaribu wa Kihisia kupitia Kufanya Mapenzi: Kuunganisha Roho na Miili

  1. Mapenzi ni sehemu muhimu ya uhusiano wa kimapenzi kati ya wapenzi wawili. Kufanya mapen... Read More

Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Upendo ni ... Read More

Je, watu wana amini katika kutumia mbinu za kujizuia mimba wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wana amini katika kutumia mbinu za kujizuia mimba wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Salamu! Karibu kwenye makala ya leo kuhusu mbinu za kujizuia mimba wakati wa ngono. Ni jambo muhi... Read More