Sababu kuu ya ugumba unayoweza kujisababishia ni kupata magonjwa ya zinaa. Unaweza kuepuka kuwa mgumba kwa njia ya kuzuia kuambukizwa magonjwa ya zinaa. Magonjwa ya zinaa unaweza kuyazuia kwa njia ya kutojamii ana au kwa njia ya kutumia kondomu kila unapojamii ana. Kuna sababu nyingine za ugumba, nyingine unaweza kuzisababisha na nyingine ni za kimaumbile yako tangu ulipozaliwa.
Nifanyeje ili niepukane na kuwa mgumba?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Je, kuna umuhimu wa kujadili matakwa ya kujamiiana na ngono/kufanya mapenzi katika uhusiano?
Habari wapendwa wasomaji, leo tutaangazia swali muhimu sana ambalo wapenzi wengi hujiuliza. Je, k... Read More
Haki zinazokiukwa iwapo mvulana au msichana wamelazimishwa kuoa au kuolewa
Nani na lini unaoa ni maamuzi yako binafsi wewe mwenyewe,
hata kama rafiki na wazazi wanakus...
Read More
Kwa nini dawa hutengenezwa na kutumika hospitalini wakati zina madhara?
Baadhi ya dawa za kulevya pamoja na dawa za kutibu, hutumika hospitali kuokoa maisha na kupunguza... Read More
Kwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?
Watu huogopa kujaribu vitu au mambo ambayo hawajayazoea
au yale ambayo yapo tofauti. Jinsi u...
Read More
Watu wanaoishi na ulemavu wanapewa huduma za upasuaji hasa wakati wa kujifungua?
Upasuaji unafanyika kwa wanawake wote ambao wamegundulika
kuwa na tatizo la kujifungua kwa n...
Read More
Je, Ni Vipi Kupata Msaada wa Kielimu Kuhusu Ngono?
Je, umewahi kujiuliza ni vipi unaweza kupata msaada wa kielimu kuhusu masuala ya ngono? Leo, tuta... Read More
Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya usalama na faragha katika ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya usalama na faragha katika ngono/kufanya mapenzi?
H... Read More
Je, ni kweli matumizi ya dawa za kulevya ni mojawapo ya sababu zinazochangia maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU)
Dawa za kulevya zenyewe hazisababishi UKIMWI na magonjwa ya zinaa. Lakini utumiaji wa dawa za kul... Read More
Kwa nini Albino wengi hawataki kuoa/kuolewa au kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi?
Watu ambao wanaonekana tofauti na wengine (ama kwa misingi
ya kabila, rangi, dini, kimo au h...
Read More
Je, Ni Vipi Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono?
Je, ni vipi kuepuka shinikizo la kufanya ngono? Hii ni swali ambalo vijana wengi hujikuta wakijiu... Read More
Njia ya kuzuia mimba inayofaa kwa kijana anayeanza kujamiiana
Kila njia ya kuzuia mimba ina faida na hasara zake. Kwa mfano faida ya vidonge ni kwamba kama mwa... Read More
Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?
Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa ka...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!