Sababu kuu ya ugumba unayoweza kujisababishia ni kupata magonjwa ya zinaa. Unaweza kuepuka kuwa mgumba kwa njia ya kuzuia kuambukizwa magonjwa ya zinaa. Magonjwa ya zinaa unaweza kuyazuia kwa njia ya kutojamii ana au kwa njia ya kutumia kondomu kila unapojamii ana. Kuna sababu nyingine za ugumba, nyingine unaweza kuzisababisha na nyingine ni za kimaumbile yako tangu ulipozaliwa.
Nifanyeje ili niepukane na kuwa mgumba?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Je, ni muhimu kuwa na mipaka wazi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, ni muhimu kuwa na mipaka wazi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi? Hili ni swali ambalo ... Read More
Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana
Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana
Katika uhusiano wowote, uaminif... Read More
Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono?
Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono? π
Asante kwa ku... Read More
Nini imani ya watu katika ngono/kufanya mapenzi ya mara moja au watu wanapendelea uhusiano wa kudumu?
Kuna mjadala mkubwa kuhusu imani ya watu katika ngono au kufanya mapenzi ya mara moja ikilinganis... Read More
Kwa nini pombe za kienyeji ni hatari kuliko pombe za viwandani?
Pombe zinazotengenezwa kiwandani zinafuata viwango
ambavyo ubora wake umethibitishwa kihalal...
Read More
Mabadiliko gani yanatokea kwenye miili ya wavulana Wakati wa makuzi au wakati wa kubalehe?
Wakati wa makuzi au kipindi cha kubalehe, wavulana hupitia mabadiliko mbali... Read More
Mtu anaweza kurithi uvutaji wa bangi?
Hapana, huwezi ukarithi uvutaji wa bangi. Lakini mara nyingi watoto huiga tabia za wazazi wao. Wa... Read More
Vidokezo vya Kuwa na Uhusiano Mzuri na Msichana
Mara nyingi, wanaume wamekuwa wakipata wakati mgumu kuwa na uhusiano mzuri na msichana. Inawezeka... Read More
Njia za Kusuluhisha Mazungumzo ya Mgawanyiko katika Uhusiano wako na Msichana
Njia za Kusuluhisha Mazungumzo ya Mgawanyiko katika Uhusiano wako na Msichana
Kila uhusian... Read More
Je, ni sahihi kuzungumza na wenzio/ marafiki juu ya uhusiano wangu wa kimapenzi?
Kama unavyohusisha rafiki zako katika mihemuko mingine, inaeleweka kama utataka kuwashirikisha ka... Read More
Je, ni muhimu kujadili mipaka na dhibitisho wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, ni muhimu kujadili mipaka na dhibitisho wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Ndio, ni muhimu sana... Read More
Je, watu wanapenda kujaribu nafasi mpya za ngono/kufanya mapenzi?
- Je, watu wanapenda kujaribu nafasi mpya za ngono/kufanya mapenzi?
Hivi karibu... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!